Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,925
Elimu ya vyuo Tanzania ni chini kutokana na kutokuwa na msukumo wa wanachuo uwepo madarasani. Mwanachuo aingie darasani au asiingie haiathiri cho chote kwa vyuo vya Tanzania.
Vyuo vya baadhi ya nchi mwanachuo akikosa kipindi kimoja lazima ajazie na kupewa onyo. Akikosekana maratatu na zaidi anaachishwa chuo. Je hili lipo bongo?
Nilitaka tu wengi waone kisha tuihamishe.
Naona KIU wanakuja vizuri. Wako strict kwenye suala la kuhudhuria darasani. Ukikosa zaidi ya mara tatu imekula kwako. Kila mwanafunzi anasaini kuhakikisha ameingia darasani. Na wanasema bila kuwa strict then hawata-achieve malengo waliyojiwekea.
Issue siyo kuingia darasani ila kimbembe chake utakachokipata kwa kujisomea mwenyewe. Shule za wenzetu (developed countries)siyo mwalimu tu kufika mbele anatowa lecture kuna mda wa kujadili issues ambayo unapunguza mzigo wa kujichimbia mwenyewe. Wanakuwa makini na kukomalia hivyo kwa sababu siyo yote yaliyo kwenye kitabu au hand-out tu ndo unatakiwa kusoma na kuelewa. Lucturer atatoa mifano mingi kutokana na mazingira yaliyopo mda huo ambayo itakufanya wewe mwanafunzi kuelewa topics na issues bila kusahau mapema. Siyo mambo ya madesa tena kwa wenzetu, hivyo lazima kuwepo darasani.
Elimu ya vyuo Tanzania ni chini kutokana na kutokuwa na msukumo wa wanachuo uwepo madarasani. Mwanachuo aingie darasani au asiingie haiathiri cho chote kwa vyuo vya Tanzania.
Vyuo vya baadhi ya nchi mwanachuo akikosa kipindi kimoja lazima ajazie na kupewa onyo. Akikosekana maratatu na zaidi anaachishwa chuo. Je hili lipo bongo?
Naona KIU wanakuja vizuri. Wako strict kwenye suala la kuhudhuria darasani. Ukikosa zaidi ya mara tatu imekula kwako. Kila mwanafunzi anasaini kuhakikisha ameingia darasani. Na wanasema bila kuwa strict then hawata-achieve malengo waliyojiwekea.
Issue siyo kuingia darasani ila kimbembe chake utakachokipata kwa kujisomea mwenyewe. Shule za wenzetu (developed countries)siyo mwalimu tu kufika mbele anatowa lecture kuna mda wa kujadili issues ambayo unapunguza mzigo wa kujichimbia mwenyewe. Wanakuwa makini na kukomalia hivyo kwa sababu siyo yote yaliyo kwenye kitabu au hand-out tu ndo unatakiwa kusoma na kuelewa. Lucturer atatoa mifano mingi kutokana na mazingira yaliyopo mda huo ambayo itakufanya wewe mwanafunzi kuelewa topics na issues bila kusahau mapema. Siyo mambo ya madesa tena kwa wenzetu, hivyo lazima kuwepo darasani.
Hiyo pia inafanyika KIU, amini usiamini. Najua wengi wanakishambulia kama chuo cha kata.
Wachangiaji wote mna mawazo mgando.
Kuingia darasani kila siku siyo kufaulu, na mwanachuo ni mtu mzima, no need to control them, wao wanaelewa.
Naona KIU wanakuja vizuri. Wako strict kwenye suala la kuhudhuria darasani. Ukikosa zaidi ya mara tatu imekula kwako. Kila mwanafunzi anasaini kuhakikisha ameingia darasani. Na wanasema bila kuwa strict then hawata-achieve malengo waliyojiwekea.
Elimu ya vyuo Tanzania ni chini kutokana na kutokuwa na msukumo wa wanachuo uwepo madarasani. Mwanachuo aingie darasani au asiingie haiathiri cho chote kwa vyuo vya Tanzania.
Vyuo vya baadhi ya nchi mwanachuo akikosa kipindi kimoja lazima ajazie na kupewa onyo. Akikosekana maratatu na zaidi anaachishwa chuo. Je hili lipo bongo?
Elimu ya vyuo Tanzania ni chini kutokana na kutokuwa na msukumo wa wanachuo uwepo madarasani. Mwanachuo aingie darasani au asiingie haiathiri cho chote kwa vyuo vya Tanzania.
Vyuo vya baadhi ya nchi mwanachuo akikosa kipindi kimoja lazima ajazie na kupewa onyo. Akikosekana maratatu na zaidi anaachishwa chuo. Je hili lipo bongo?
<br />Hata pale UDBS kwenye madarasa ya masters walim wengi huwa wanachukua attendence, na usipoatend lectures you are ineligible ufanya mtihani!
<br />
<br />
udbs na ile master isiyo na tofauti na bcom enh!