Mwana va Mutwa
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 460
- 54
dah!! tuna long way to go!!hii ni ya miaka ya tisini, sasa tuko 21st century!!kasheshe!
Wanafunzi wa Shule ya msingi Ihanga wilayani Mufindi, mkoa wa Iringa wakiwa wamebeka kuni kupelekea kwa mteja aliyenunua kuni hizo kutoka katika Shule yao kama walivyokutwa na mwandishi wetu, Waalimu hutumia muda wa masomo kufanya biashara hiyo. Picha na Hakumu Mwafongo
Ngambo Ngali uko sahihi kabisaa! Hivi hawa watoto ndani ya picha hii wanapata stadi zipi? Za ujasiriamali (kama sera za sasa zinavyosisitiza) au za kujitegemea (kama sera za Baba wa Taifa)? Walimu wao wanakazia maarifa kwa kuwafunza uharibifu wa mazingira kwa vitendo halisi! Tena wa hali ya juu!
Wanafunzi wa Shule ya msingi Ihanga wilayani Mufindi, mkoa wa Iringa wakiwa wamebeka kuni kupelekea kwa mteja aliyenunua kuni hizo kutoka katika Shule yao kama walivyokutwa na mwandishi wetu, Waalimu hutumia muda wa masomo kufanya biashara hiyo. Picha na Hakumu Mwafongo
Wanafunzi wa Shule ya msingi Ihanga wilayani Mufindi, mkoa wa Iringa wakiwa wamebeka kuni kupelekea kwa mteja aliyenunua kuni hizo kutoka katika Shule yao kama walivyokutwa na mwandishi wetu, Waalimu hutumia muda wa masomo kufanya biashara hiyo. Picha na Hakumu Mwafongo
Un-believable!