Elimu yetu hii sijui tutafika?


True, true, my brother. Inashangaza, up to this day hali ni hii.
 
Un-believable!

Ndio yale yale ya 'No child left behind' halafu hakuna resource zinatengwa kwa ajili hiyo, matokeo yake the whole school or the country is left behind.

Ili tuendelee tunahitaji vitu vinne - ardhi, watu, siasa safi, na uongozi bora. ELIMU NI VIPI?!
 
Kuna kitu kinanishangaza mimi kama mimi na kunisimitisha sana ni wapi tunaelekea,hivi inakuaje watu humu mnaposti (kutuma) maswala ya kusoma na kazi mfano mtu anauliza hivi uhandisi na udaktari ni upi unalipa zaidi wewe wakati unakua ulikua na malengo gani?

Unadhani kwa mawazo yako hayo utapeleka wapi kizazi chako?usiseme eti ni mfumo wa elimu shida inaanzia kwa jamii kwa majibu yangu niliyopata watanzania wengi tunasoma bora liende nipate kazi tena ya kuajiriwa

naomba tubadilike tuishi kwa malengo tuwe kama tulivyopenda kuwa tangu utotoni hii itasaidia hata haiba katika kazi na matendo kama rushwa na matumizi mabovu ya madaraka yatapungua naamini hamna kitu kizuri kama kufanya kazi kwa moyo huku ukiipenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…