Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,438
- 6,313
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm ni 💩💩💩😁😁😁😁😁
2040 swali litakuwa andika maksi unazo taka2030 swali litasema 'jitungie swali lolote na ulijibu mwenyewe'.
Trust me Kuna watu watafeli na hapo 😂
Nimecheka saana aseh!!,2050!!,,japo sidhani kama itafikia hatua hiyo,lkn hii yote yatokea kwasababu yakukubali siasa iendeshe utaalamu,,yaani ni sawa na goli lipanuliwe ili mfungaji afunge kirahisi,na baadae kumsifia kocha kuwa kafundisha vizuri wachezaji,,sijui wapi tunaelekea.2040 swali litakuwa andika maksi unazo taka
2050 swali litakuwa jaza ufaulu unao taka
Ccm ni wapumbavu wanaleta hadi ujinsia kwenye elimu ...ndiyo huko kupanua goli....awajui maana ya elimuNimecheka saana aseh!!,2050!!,,japo sidhani kama itafikia hatua hiyo,lkn hii yote yatokea kwasababu yakukubali siasa iendeshe utaalamu,,yaani ni sawa na goli lipanuliwe ili mfungaji afunge kirahisi,na baadae kumsifia kocha kuwa kafundisha vizuri wachezaji,,sijui wapi tunaelekea.
Imezoeleka leo hii hata sekondari wanafunzi wengi kufaulu kirahisi,,ukitaka kujua vizuri angalia ufaulu wao wakiwa vyuoni,field,au wakianza kazi serikalini au mashirika nk,.
2070, Just sleep and let AI do the rest2040 swali litakuwa andika maksi unazo taka
2050 swali litakuwa jaza ufaulu unao taka