Elimu yetu ilipofikia sasa.

Elimu yetu ilipofikia sasa.

Mjomba Fujo

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2012
Posts
2,438
Reaction score
6,313
us-education-system-v0-i83ngmpuy4he1.png
 
2040 swali litakuwa andika maksi unazo taka
2050 swali litakuwa jaza ufaulu unao taka
Nimecheka saana aseh!!,2050!!,,japo sidhani kama itafikia hatua hiyo,lkn hii yote yatokea kwasababu yakukubali siasa iendeshe utaalamu,,yaani ni sawa na goli lipanuliwe ili mfungaji afunge kirahisi,na baadae kumsifia kocha kuwa kafundisha vizuri wachezaji,,sijui wapi tunaelekea.
Imezoeleka leo hii hata sekondari wanafunzi wengi kufaulu kirahisi,,ukitaka kujua vizuri angalia ufaulu wao wakiwa vyuoni,field,au wakianza kazi serikalini au mashirika nk,.
 
Nimecheka saana aseh!!,2050!!,,japo sidhani kama itafikia hatua hiyo,lkn hii yote yatokea kwasababu yakukubali siasa iendeshe utaalamu,,yaani ni sawa na goli lipanuliwe ili mfungaji afunge kirahisi,na baadae kumsifia kocha kuwa kafundisha vizuri wachezaji,,sijui wapi tunaelekea.
Imezoeleka leo hii hata sekondari wanafunzi wengi kufaulu kirahisi,,ukitaka kujua vizuri angalia ufaulu wao wakiwa vyuoni,field,au wakianza kazi serikalini au mashirika nk,.
Ccm ni wapumbavu wanaleta hadi ujinsia kwenye elimu ...ndiyo huko kupanua goli....awajui maana ya elimu
 
Back
Top Bottom