Elimu yetu inalenga kufaulu mtihani(ya kukremu) si kudadisi.Mkumbo Kitila

ligendayika

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2012
Posts
1,183
Reaction score
198
Jamani maneno ya Mkumbo ni sahihi mnasemaje wakuu.
 
huo ni ukweli na pia kutegemea waliofeli ndio waende ualimu ndio maana wanafunzi wanatoka vilaza anyway this is Tanzania all things are possible
 
huo ni ukweli na pia kutegemea waliofeli ndio waende ualimu ndio maana wanafunzi wanatoka vilaza anyway this is Tanzania all things are possible

Huu utaratibu unanikera sana miye, ni wakijinga sana. Haiwezekani mtu aliyefanya vibaya ndo akawe mwalimu, ataenda kufundisha nini huko ka sio kutengeneza Taifa la watu wa hovyo hovyo tu!
Bado kwa utaratibu huu tunaamini tutaweza kuwa watu wasomi watakao weza kushindana vema ktk dunia hii.
Walimu wanotokana na utaratibu huu ndo hawa wanaowakaririsha watoto wetu na hata kuwasaidia kujibu maswali ktk mitihani yao( kuwafanyia mitihani) coz hata hawafahamu madhara yake!
Ni vema sasa tukabadilika, TUBORESHE MASLAHI YA WALIMU, MAZINGIRA YA KUJIFUNZIA, VITENDEA KAZI VIWEPO, MAKAZI BORA KISHA TUCHUKUEWALE WALIOFAULU SANA (SIO VIZURI), NDIO WAENDE KUSOMEA UALIMU NA SI VINGINEVYO!:rofl:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…