Naxvegas254
JF-Expert Member
- Mar 29, 2019
- 542
- 316
Robert Wangila alishinda dhahabu. Niambie wenu ambaye ashawahi kushinda tangu kuumbwa kwa dunia? 🤣🤣Mkenya gani kashawahi shinda dhahabu au aliempiga bondia wa TZ wewe maana munasema michezo yote Kenya
Fatuma Zarika
AFCON tuliwatwanga
Riadha tunawatwanga
Cricket tunawatwanga hata sidhani mna uwanja na team ya huo mchezo.
Volleyball tunawachapa na pia sidhani mna timu na hata viwanja vya huo mchezo. [emoji23]
Kabadi Kenya Ni noma...najua hujui hio Ni Nini.
Rugby pia ni yetu Africa nyie kuleni chipsi mayai [emoji23]. Tuendelee ama tusiendelee?? [emoji24][emoji24]
Fatuma Zarika
AFCON tuliwatwanga
Riadha tunawatwanga
Cricket tunawatwanga hata sidhani mna uwanja na team ya huo mchezo.
Volleyball tunawachapa na pia sidhani mna timu na hata viwanja vya huo mchezo. [emoji23]
Kabadi Kenya Ni noma...najua hujui hio Ni Nini.
Rugby pia ni yetu Africa nyie kuleni chipsi mayai [emoji23]. Tuendelee ama tusiendelee?? [emoji24][emoji24]
Soma google pls,have no time to wasteHahaa! 😀 Jombaa, hata kama amekuudhi na hizo habari za wahadzabe na msosi wao wa kobe, hamna haja ya kueneza porojo tafadhali. Hebu tutajie hiyo marathon ambayo huyo Ikhangaa alishinda miaka mitatu mfululizo?
Bendera ya KENYA inapepea tu.BREAKING NEWS!!
Women also can, Brigid kosgei wins Chicago marathon in a WORLD RECORD TIME of 2hr14 min
Yea, siku nyingine usipoteze muda ukijaribu kuhadaa watu. Tena na vitu ambavyo vinaweza vikathibitishwa virahisi.Soma google pls,have no time to waste
Weka Habari hapa kila mtu ajue wewe Ni kilaza.Soma google pls,have no time to waste
Akisaidiwa na watu waliozuia upepo usimpige.
Hili ni jambo ambalo watu hawalisemi.
That is not a natural marathon.
Brigid ameshinda proper marathon. Nimempongeza tayari.Mkuu:
Hao ni pacesetters tu (Rabbits).
Leo hii 13/10/19 Brigid Kosgei ameweka record nyingine ya Chicago marathon kwa wanawake huku akiwa na hao pacesetters wawili.
Lkn huko tunako elekea IAAF wanaweza kubadilisha kanuni na kuruhusu hao wakinga upepo.
Brigid ameshinda proper marathon. Nimempongeza tayari.
Huyu Kipchoge hii sub 2 hrs ya kukimbia mwenyewe bila mpinzani si marathon, ni soap opera labda.
Tanzania hainaga wa hivo, btw who is KipchogeIla huyu mtanzania Kipchoge sio mtu mzuri. Alipomaliza shughuli yote alionekana akienda moja kwa moja kwa majirani wakenya. Ambao walijitokeza kwa wingi kumpa motisha. Wakiongozwa na Naibu Rais William Ruto.
Kipchoge is The Man. Anyway, wamehamisha uzi mwingine wakaulete humu. Uzi wenyewe ulikuwa umeanza hivi.Tanzania hainaga wa hivo, btw who is Kipchoge
admin Ana ubishi mtupu😕Kipchoge is The Man. Anyway, wamehamisha uzi mwingine wakaulete humu. Uzi wenyewe ulikuwa umeanza hivi.
You have time put it here nyangauYea, siku nyingine usipoteze muda ukijaribu kuhadaa watu. Tena na vitu ambavyo vinaweza vikathibitishwa virahisi.
I have no time for stupidity.You have time put it here nyangau
Sawa Mkuu:
Lkn hawa pacesetters haiwezi kudhaniwa kuwa ni wakinga upepo. pacesetters huwa wanakimbia halfway. Lkn leo ni mwanzo mwisho kulikoni?
Safi sana. Watu wengi humu hawaelewi chochote kuhusu hawa sungura(pacesetters). Pacesetters wanakubaliwa na IAAF na huwa sio wa mwanariadha binafsi, mara nyingi huwa wanaletwa na waandalizi wa mbio au team flani, km. waethiopia, wamarekani n.k. Kazi yao ni kuongoza kasi ya mbio na huwa wanajiondoa kwa heshima na kwa hiari yao. Kuna pacesetter mmoja aliongoza mwanzo mwisho kwenye 10,000m, akavunja rekodi na akajishindia medali ya dhahabu. 😀Mkuu:
Hao ni pacesetters tu (Rabbits).
Leo hii 13/10/19 Brigid Kosgei ameweka record nyingine akiwa na hao pacesetters wawili. IAAF wanaweza kubadilisha kanuni na kuruhusu hao wakinga upepo.
Angalia Sasa mi nyani ilivyo!mbona mi nimeona hii nikampigia makofi kipchoge,hili mburura linaanza kashfa.
Tz ilishawahi kuwa mabingwa wa mbio ndefu miaka mi 3 mfululizo chini ya juma ikhangaa hatuongei fala we.