Ha ha ha charminglady.. za cku..?Dah... Whatsapp imekuja kuivuruga JF ya zamani hasa chitchat...
Enzi zileee za kipindi kileee!!!
Watu wameadimika sana,wish jukwaa hili lirudi kwenye burudani ile
Watu wameadimika sana,wish jukwaa hili lirudi kwenye burudani ile
Lirudishwe aiseDah... Nalikumbuka hili Jukwaa..... Siku hizi limedorora kinoma.
Doh.... mekumbusha mimi mbali sana.
Waite tu ,wanakuja,Erickb52 jamani nimekumissKweli Chitchat ya kipindi hicho ilikuwa inanoga
Tufanyeje?