Elizabeth Lulu kwanini asiwekwe ndani kama mwanariadha Oscar?

Elizabeth Lulu kwanini asiwekwe ndani kama mwanariadha Oscar?

Joined
Sep 23, 2014
Posts
15
Reaction score
6
Oscar kusekwa jela miaka mitano, na miaka mitatu ya kifungo cha nje, Je kwanini Lulu wa bongo movies , wasiwekwe jela miaka mia nane?? koz tunapoelekea anaenda kumpiga tena JB wa bongo movies kwenye Tendegu la sofa, alafuuu yatakujaaaa yaleyalee ya brother Kanumba tunaanza kujutaaa uku mtu anakula bata uswahilinii
 
Oscar kusekwa jela miaka mitano, na miaka mitatu ya kifungo cha nje,je kwanini lulu wa bongo movies Wasiwekwe jela miaka miananeeee?? koz tunapoelekea anaenda kumpiga tena JB wa bongo movies kwenye tendegu la sofaaaaa,alafuuu yatakujaaaa yaleyalee ya brother kanumba tunaanza kujutaaa uku mtu anakula bata uswahilinii

Pumba express. Lulu amemshoot nani?
 
kwani lazima amshoot mtu?. Nadhani point ya mtoa maada ni kuuwa bila kukusudia.

Kesi ya Lulu ndio angekuwa nayo Oscar angeachiwa huru tatizo hamshughulishi akili zenu.

Oscar amehukumiwa ili kuondoa picha mbaya kwamba anapendelewa na pia kuiridhisha familia pale ilitumika bunduki.

Oscar atakaa jela miezi 10 tu na baada ya hapo anaruhusiwa kuomba Parole kwa mujibu wa Sheria za Africa de Suide.
 
Tanzania ukiwa mzuri na unajua kuutumia uchi wako vizuri hata uuwe raisi utatoka tu wala hutafungwa
 
Vitu viwili tofauti kabisa!
 
Back
Top Bottom