Kumbe ma mi nilidhani feMwanaume niwe na wivu eti lulu kaolewa..
Kuwa serious kidogo..
Ninachoongelea ni maigizo ya kulia wakati kila kitu kilikua planned inawezekana yeye mwenyewe ndio aliplan sherehe kabisa
Tunajilipua sana kwa kweliWanaume tuna roho ngumu sana,
Analia kwa furaha,haamini kama avishwa peteSasa analia why
Zaa wa kwako uoe fresh.Wenzake wamechezeaaaa weeee kazeeka saizi yeye anaona kaokota dofo.
Anyways maisha hayana formula
kwa pesa labdaIla majei Mungu anakuona[emoji135][emoji135][emoji135]juzi mama fantasy kasema wewe ulikuwa Soo amazing [emoji23][emoji23][emoji23]
Dear , Mimi siishi Tanzania , Nina elimu nzuri tu na maisha mazuri🤣🤣, labda hamisa alichonizidi ni umaarufu tu Ila maisha , bado anakongoja binamu
Usibabaike na wasanii ukawaona insta wanashine ukajua they have made it , wengi maskini na elimu hawana🤣🤣🤣
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]labda.kwa pesa labda
uoga wa kubikiliwaSasa analia why
Kifo kinakuita Majizo, Lulu ana pepo mtoa roho
Hii nalo nenoLulu ana nyota ya kuliwa na waliomzidi umri mara dufu....
Una allele za kuzimuKanumba liked your post..