Ellon Musk akataa kutoa mawasiliano kwa Ukraine kuipiga Crimea ya Urusi

Ellon Musk akataa kutoa mawasiliano kwa Ukraine kuipiga Crimea ya Urusi

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Sasa imekuwa rasmi kuwa Ellon Musk ameyakataa maombi ya Ukraine kutumia mifumo yake ya mawasiliano katika eneo la Crimea.

Ellon amesema akiruhusu hilo itakuwa kama ameruhusu Urusi kutumia silaha za nyuklia.

Kwa upande wa maeneo mengine ya Ukraine amesema hawezi kutoa maelezo zaidi kwani ni siri za vita.

Amekanusha kuwa na mazungumzo na raisi Putin kuhusiana na uamuzi wake huo.

Pamoja na hivyo amethibitisha kukatikatika kwa mawasilano ya mifumo yake kwenye mistari ya mbele ya vita vinavyoendelea ikihisiwa Urusi wameanza kupata namna ya kuchafua mawasilano hayo ambayo katika siku za karibuni yameiwezesha Ukraine kusonga mbele kwenye uwanja wa vita.

Vifaa vyake hivyo ambavyo vinatumia nishati ndogo mwanzoni viliidhinishwa naye na serikala ya Marekani kama kuipa namna Ukraine kuingia maeneo yaliyokuwa mfu kwao kiteknolojia ya mawasilano.

1665550249216.png
 
Amekataa au warusi walivijam baadhi ya viswaswadu vyake huko angani ndipo akili zikamkaa sawa?

Alijidai sana kwamba atasambazia jeshi la ukrine huduma za kimtandao kupitia viswaswadu vyake vya starlink warusi wakawa wanamchora tu, sasa alichokutana nacho kimemfanya awe chawa wa Putin
 
Hadithi za kulishana matangopori vijiweni hizi
Amekataa au warusi walivijam baadhi ya viswaswadu vyake huko angani ndipo akili zikamkaa sawa?

Alijidai sana kwamba atasambazia jeshi la ukrine huduma za kimtandao kupitia viswaswadu vyake vya starlink warusi wakawa wanamchora tu, sasa alichokutana nacho kimemfanya awe chawa wa Putin
 
Amekataa au warusi walivijam baadhi ya viswaswadu vyake huko angani ndipo akili zikamkaa sawa?

Alijidai sana kwamba atasambazia jeshi la ukrine huduma za kimtandao kupitia viswaswadu vyake vya starlink warusi wakawa wanamchora tu, sasa alichokutana nacho kimemfanya awe chawa wa Putin

Nikwambie kitu mkuu,Putin ni binadamu mwenye utu sana na huruma la sivyo angeweza kukaanga circuit boards na semiconductors za starlink satellite repeaters juu kwa juu Eleon akapata hasara kubwa, satellite zinaweza kuendelea kubaki kwenye orbit slot zake kama kawaida lakini zinakuwa passive tu!!

Eleon kachekecha mambo akaona hisiwe taabu ngoja niwe in good books na Putin kuliko a highly unpredictable clown Zelensky ambaye hajitambui!!!
 
Ndicho hicho mkuu, naona Elon kashtuka sana kwamba akiendelea kujiingiza kwenye mgogoro huu wa Ukraine baadhi ya satellite zake zinaweza kuwa disabled permanently uwezo huo wataalamu wa Urusi wanao sana.
Mpaka leo mitandao ya urusi siyo rahisi kuhack.

Hivi Karpesky ni ya warusi siyo? Pia Telegram ipo strong na secured sana
 
Wa*russia wa

Kipunguni Banana mnamaneno sana

Superpower wa mchongo.,
 
Amekataa au warusi walivijam baadhi ya viswaswadu vyake huko angani ndipo akili zikamkaa sawa?

Alijidai sana kwamba atasambazia jeshi la ukrine huduma za kimtandao kupitia viswaswadu vyake vya starlink warusi wakawa wanamchora tu, sasa alichokutana nacho kimemfanya awe chawa wa Putin
Ebhana ni noma
 
Amekataa au warusi walivijam baadhi ya viswaswadu vyake huko angani ndipo akili zikamkaa sawa?

Alijidai sana kwamba atasambazia jeshi la ukrine huduma za kimtandao kupitia viswaswadu vyake vya starlink warusi wakawa wanamchora tu, sasa alichokutana nacho kimemfanya awe chawa wa Putin
Ebhana ni noma
 
Back
Top Bottom