Mkuu umeiweka kitaalamu sana,big upNikwambie kitu mkuu,Putin ni binadamu mwenye utu sana na huruma la sivyo angeweza kukaanga curcuit boards na semiconductors za starlink satellite repeaters juu kwa juu Eleon akapata hasara kubwa satellite zinaweza kuendelea kubaki kwenye orbit slot zake kama kawaida lakini zinakuwa passive tu!!
Eleon kachekecha mambo akaona hisiwe taabu ngoja niwe in good books na Putin kuliko a highly unpredictable clown Zelensky ambaye hajitambui!!!
Vipi unaelekea mstari wa mbele au🥱
Mpaka leo mitandao ya urusi siyo rahisi kuhack.
Hivi Karpesky ni ya warusi siyo? Pia Telegram ipo strong na secured sana
Urusi ni balaa aiseeMkuu, gangwe wa masuala usalama wa ICT ni Karpesky Lab, Eugene na mkewe hao ni moto wa kuotea mbali, US na Israel hawana hamu na wataalamu hao mahili - hawashindwi kitu!!
CIA na Mossad walishikwa butwaa kampuni ya Eugene Karpesky na wenzake walipo fanikiwa ku-detect na kuondoa kabisa kirusi hatari cha Stuxnet code kilicho kuwa pre-programmed makusudi kuharibu Aluminium Centrifugal Canisters za kuzalisha Weapon Grade Plutonium kwenye vinu vya nuclear nchini Iran.
Mossad na CIA walikuwa wamejiamini sana sana kwamba hakuna kampuni au mtu yeyote Duniani anaweza kutegua innoculate conundrum ya kirusi type Stuxnet lakini Warusi walifanikiwa bwana na kuishangaza Dunia specifically CIA and Mossad Intel agencies, waliishia kuwavulia kofia Warusi kumbe wafanyeje?
Kachukue Diaper zako pale ubalozini.Wa*russia wa
Kipunguni Banana mnamaneno sana
Superpower wa mchongo.,
Sio dili hapo unakuta kaonywa na donge nono, kua kuna commision kama asipotoa mawasiliano pia kama ikitokea katoa mawasiliano kwa kushinikizwa na mmarekani basi ataanzisha vagi la nukeElon musk mtu wa dili
Sawa mmarekani wa Mwanjerwa, naona wewe uko na vitendo!Wa*russia wa
Kipunguni Banana mnamaneno sana
Superpower wa mchongo.,
Nani huyo atoe pesa?Mrusi,unaota.Sio dili hapo unakuta kaonywa na donge nono, kua kuna commision kama asipotoa mawasiliano pia kama ikitokea katoa mawasiliano kwa kushinikizwa na mmarekani basi ataanzisha vagi la nuke
Sema habari ya stuxnet huwa inanikosha sana. Kuanzia upande wa walioitengeneza (CIA &MOSSAD), mpaka kwa wahuni wa Urussi walio-idetect.Mkuu, gangwe wa masuala usalama wa ICT ni Karpesky Lab, Eugene na mkewe hao ni moto wa kuotea mbali, US na Israel hawana hamu na wataalamu hao mahili - hawashindwi kitu!!
CIA na Mossad walishikwa butwaa kampuni ya Eugene Karpesky na wenzake walipo fanikiwa ku-detect na kuondoa kabisa kirusi hatari cha Stuxnet code kilicho kuwa pre-programmed makusudi kuharibu Aluminium Centrifugal Canisters za kuzalisha Weapon Grade Plutonium kwenye vinu vya nuclear nchini Iran.
Mossad na CIA walikuwa wamejiamini sana sana kwamba hakuna kampuni au mtu yeyote Duniani anaweza kutegua innoculate conundrum ya kirusi type Stuxnet lakini Warusi walifanikiwa bwana na kuishangaza Dunia specifically CIA and Mossad Intel agencies, waliishia kuwavulia kofia Warusi kumbe wafanyeje?
Tunatumia vichwa vyetu Kama vifuniko vya shingo tu.Sema habari ya stuxnet huwa inanikosha sana. Kuanzia upande wa walioitengeneza (CIA &MOSSAD), mpaka kwa wahuni wa Urussi walio-idetect.
Kuna watu wanajua kutumia vichwa vyao bana, sisi wengine tunatumia kubebea masikio!
Warusi ndio watu wa kwanza kabisa kuweka satellite (man made obkect) kwenye orbit ya dunia.
Hakuna kitu Elon Musk atafanya leo ambacho wao hawakijui. Nadhani kuna mahala wamemfinya na kumuonyesha wanaweza kumharibia, ndio maana ametuliza wenge!
Hawa mainjia wetu uwongo uwongo mwingi. Mtu hata kutengeneza Mota, ujui unazungumzia vitu ivi.Kama nakumbuka vizuri mwezi mmoja au miwili hivi iliyo pita kuna satellite ya kijasusi ya Kimerikani ulishushwa kimtindo - Urusi ilikaa kimya lakini Amerika ikawa inalalamika kwa mbalii bila ya kuweka madai yao wazi wazi - wenye akili wakajua jamaa amelizwa kimtindo, ndio maana hata frequencies za matumizi ya roketi za HIMARS zimepungua exponentially kwa kuwa utegemea sana satellite guidance systems. Ndio maana wame-resort kwenye plan "B" ya kutumia heavy duty trucks kama bom la kulipulia madaraja, na sio kutegemea kutumia missiles tena
Kagongwa konzi la utosiWarusi ndio watu wa kwanza kabisa kuweka satellite (man made obkect) kwenye orbit ya dunia.
Hakuna kitu Elon Musk atafanya leo ambacho wao hawakijui. Nadhani kuna mahala wamemfinya na kumuonyesha wanaweza kumharibia, ndio maana ametuliza wenge!
HakikaVipi unaelekea mstari wa mbele au🥱
Warusi ndio watu wa kwanza kabisa kuweka satellite (man made obkect) kwenye orbit ya dunia.
Hakuna kitu Elon Musk atafanya leo ambacho wao hawakijui. Nadhani kuna mahala wamemfinya na kumuonyesha wanaweza kumharibia, ndio maana ametuliza wenge!
Amir kumbe na wewe ni mpuuzi kiasi hicho ?Sasa imekuwa rasmi kuwa Ellon Musk ameyakataa maombi ya Ukraine kutumia mifumo yake ya mawasiliano katika eneo la Crimea.
Ellon amesema akiruhusu hilo itakuwa kama ameruhusu Urusi kutumia silaha za nyuklia.
Kwa upande wa maeneo mengine ya Ukraine amesema hawezi kutoa maelezo zaidi kwani ni siri za vita.
Amekanusha kuwa na mazungumzo na raisi Putin kuhusiana na uamuzi wake huo.
Pamoja na hivyo amethibitisha kukatikatika kwa mawasilano ya mifumo yake kwenye mistari ya mbele ya vita vinavyoendelea ikihisiwa Urusi wameanza kupata namna ya kuchafua mawasilano hayo ambayo katika siku za karibuni yameiwezesha Ukraine kusonga mbele kwenye uwanja wa vita.
Vifaa vyake hivyo ambavyo vinatumia nishati ndogo mwanzoni viliidhinishwa naye na serikala ya Marekani kama kuipa namna Ukraine kuingia maeneo yaliyokuwa mfu kwao kiteknolojia ya mawasilano.
View attachment 2384351
Wakati huo hivi vi smartphone vyao vya mchina vikipoteza network kidogo tu wanaishia kulaumu ISPs, sasa sijui kwanini wasiwe wanatatua hilo tatizo wao wenyewe.naona wataalamu wa masuala ya kivita na kiintelijensia warussi wa buza kwa mparange mna chambua viswaswadu vya starlink kinaga ubaga.
kongole kwenu wachambusi [emoji122][emoji122]