Elon kamaliza kazi Simu zetu hizi zitakua na uwezo wa kushika mtandao wa StarLink moja kwa moja

Elon kamaliza kazi Simu zetu hizi zitakua na uwezo wa kushika mtandao wa StarLink moja kwa moja

Sasa mkombozi wetu ametufikia tena.
Ni jambo la kumshukuru Mungu.
Jamaa yetu Elon kakinukisha huko.

Mnalionaje hili wakuu,

Sasa simu zetu zimewezeshwa kushika mtandao wa Starlink.

Kwa heri Vodacom, Kwa heri Airtel, Kwa Heri Yas, Kwa Heri Halotel.

Tubaki na biashara za Miamala.
Wewe ni tahira hapo unaona umeweka habari na watu wamekuleewa,


USSR
 
Sasa mkombozi wetu ametufikia tena.
Ni jambo la kumshukuru Mungu.
Jamaa yetu Elon kakinukisha huko.

Mnalionaje hili wakuu,

Sasa simu zetu zimewezeshwa kushika mtandao wa Starlink.

Kwa heri Vodacom, Kwa heri Airtel, Kwa Heri Yas, Kwa Heri Halotel.

Tubaki na biashara za Miamala.
Weka nyama na jinsi Gani tutaweza kuifikia hio maana najua Hawa wahuni wanaweza Zima tusiweze zipata Kwa kutumia line zao
 
Sasa mkombozi wetu ametufikia tena.
Ni jambo la kumshukuru Mungu.
Jamaa yetu Elon kakinukisha huko.

Mnalionaje hili wakuu,

Sasa simu zetu zimewezeshwa kushika mtandao wa Starlink.

Kwa heri Vodacom, Kwa heri Airtel, Kwa Heri Yas, Kwa Heri Halotel.

Tubaki na biashara za Miamala.
Vijana wa kitanzania ni wataalamu wa kusaka habari za nje wasio kua na ujuzi au uelewa nazo, ila wanakosa basic knowledge ya kuepuka umasikini kwao na kupata utawala bora..........
 
Maendeleo ya sayansi na teknolojia ndiyo yanazidi kuleta matokeo kama haya yote kwa yote litapata upinzani mkubwa sana kwa sababu litadunisha mzunguko wa pesa hasa kwa makampuni ya mitandao ya simu
 
Sasa mkombozi wetu ametufikia tena.
Ni jambo la kumshukuru Mungu.
Jamaa yetu Elon kakinukisha huko.

Mnalionaje hili wakuu,

Sasa simu zetu zimewezeshwa kushika mtandao wa Starlink.

Kwa heri Vodacom, Kwa heri Airtel, Kwa Heri Yas, Kwa Heri Halotel.

Tubaki na biashara za Miamala.

Source: Starlink Business | Direct To Cell
asaidie tu ili hata malipo tumlipe moja kwa moja ili hawa wanaotuibia vifurushi watafute pa kwenda.
 
1740325138821.png
KWAKWELI!
 
Mbinyo bado upo palepale
Partner mobile operator lazima ahusike, je watakubali kulegeza masharti na gharama za kuruhusu wewe uconnect direct?
 
Back
Top Bottom