Elon kamaliza kazi Simu zetu hizi zitakua na uwezo wa kushika mtandao wa StarLink moja kwa moja

Wewe ni tahira hapo unaona umeweka habari na watu wamekuleewa,


USSR
 
Niko na CEO wa Voda hapa. Vilio vimetawala.
 
Weka nyama na jinsi Gani tutaweza kuifikia hio maana najua Hawa wahuni wanaweza Zima tusiweze zipata Kwa kutumia line zao
 
Vijana wa kitanzania ni wataalamu wa kusaka habari za nje wasio kua na ujuzi au uelewa nazo, ila wanakosa basic knowledge ya kuepuka umasikini kwao na kupata utawala bora..........
 
Maendeleo ya sayansi na teknolojia ndiyo yanazidi kuleta matokeo kama haya yote kwa yote litapata upinzani mkubwa sana kwa sababu litadunisha mzunguko wa pesa hasa kwa makampuni ya mitandao ya simu
 
asaidie tu ili hata malipo tumlipe moja kwa moja ili hawa wanaotuibia vifurushi watafute pa kwenda.
 
Mbinyo bado upo palepale
Partner mobile operator lazima ahusike, je watakubali kulegeza masharti na gharama za kuruhusu wewe uconnect direct?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…