Elon Musk ana gundu gani na Tanzania?

Unajua kampuni inavyoendeshwa wakati wa ishu za mazungumzo ulimuona Elon kwenye picha, Meta walivyotembea TZ ulimuona Zuck kwenye picha.

Wanao negotiate na ku-push kilakitu ni watu watching ya Musk yeye katulia tu.
Unamaanisha hajui kabisa pesa zake zinawekezwa wapi,siyo!?
 
Hizi akili zetu zinashida sana.yaani mambo ya mtu binafsi uko mtandaoni mtu anawaza ufumbuzi ni kufunga mtandao mzima.Wakati huo huo yeye mwenyewe anategemea huo mtandao kuwapa habari watu wake na watu wake nao kuna ambao wanaendesha maisha kupitia hiyo mitandao.Anawaza kuharibu jambo kubwa kwakuzuia jambo dogo.
 
Mchango wa Tanzania kwenye biashara za Musk ni kidogo sana, hivyo Tz sio tishio kwenye biashara zake. Kwenye huduma ya internet ya stalink, nadhani hapa Serikali iliangalia kodi na shares zake kwenye makampuni ya simu kuliko kujali mzigo wa gharama kwa watumiaji. Stalink ikianza kufanya kazi hapa, vodacom, airtel na nyinginezo zinakufa. Huenda hata haya makampuni ya simu yanapambana kwa NJIA zote ili Musk apigwe chini.
 
Walimwambia lazima awe na ofisi Bongo,akaona ngoja biznez na Rwanda na Kenya tu,hawa Waswahili acha waendelee kunywa alkasusu tu.
 
Marekani atapoanza kujibu mashambulizi msilaumiane. Msifikiri anafurahia hizi movements zenu.

KUIMBA KUPOKEZANA.
 
Hizo huduma zote ulizotaja huwa zinafika Afrika kama msaada tu, maana hizo Kampuni zinaweza kujiendesha bila kutegemea soko la afrika, Ukitaka kufahamu hilo fanya analysis ndogo tu mfano ya Youtube kwenye Pesa wanayolipa kwa matangazo yanoonekana afrika vs. Matangazo yanayoonekana Nchi za dunia ya kwanza na ya pili. Afrika is Just a Sh8T hole
 
Duh yule jamaa hana habari kabisa kuhusiana na hii nchi...anafikiri ni mbuga za wanyama pekee
 
Ndio mana kwenye mambo mengi mitandaoni , hauwezi kuikuta Tanzania zaidi ya Kenya , Burundi, Rwanda nk , mpaka huwa najiuliza ni kwa nini sisi tumetengwa? Kumbe ni ujuaji usio jua kitu ndio kizuizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…