Elon Musk Apiga chini deal la kuinunua Twitter

Elon Musk Apiga chini deal la kuinunua Twitter

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Tajiri namba 1 duniani mwenye mbwembwe amejichomoa kwenye deal la kuinunua Twitter kwa malipo ya $44 bilion.

Wakili wake anasema Twitter wameshindwa kumthibitishia madai yao ya kuwa idadi ya fake accounts ziko chini ya 5%.

Lakini kulikuwa na kipengele kuwa asipomaliza deal itabidi awalipe $1 bilion, hivyo team ya wanasheria wake wanajiandaa kupambana na Twitter mahakamani.

Mimi namwona jamaa uwa ana janja janja sana.

Chief-Mkwawa
 
Huwezi kuwa tajiri namba 1 dunia kwa janja janja futa huo mstari wako kwanza.
 
Huwezi kuwa tajiri namba 1 dunia kwa janja janja futa huo mstari wako kwanza.
Una uhakika? Angalia mabilionea wengi Marekani asili yao sio Pale huyo Musk mwenyewe akiwa ni mfano. Wanakwenda kule sababu ni rahisi kwao kufanya Huo ujanja ujanja.


Angalia Kodi waliolipa Matajiri 25 then linganisha na mpunga wao utaelewa. Bezos hajalipa kodi 2007 mpaka 2011, musk hajalipa kabisa hata thumni 2018

Wote Kuanzia Bill Gate enzi zake, kina Bezos, Musk etc wana scandal za kutosha tu.
 
Tajiri namba 1 duniani mwenye mbwembwe amejichomoa kwenye deal la kuinunua Twitter kwa malipo ya $44 bilion.
Wakili wake anasema Twitter wameshindwa kumthibitishia madai yao ya kuwa idadi ya fake accounts ziko chini ya 5%.
Lakini kulikuwa na kipengele kuwa asipomaliza deal itabidi awalipe $1 bilion, hivyo team ya wanasheria wake wanajiandaa kupambana na Twitter mahakamani.
Mimi namwona jamaa uwa ana janja janja sana.
Chief-Mkwawa
Jamaa ni mjanja sana tushamshtukia angekuwa bongo tungesema anapenda kiki
 
0BF2DE2E-3E60-49F0-A887-ECC69133B235.jpeg

Sina uhakika kama kamjibu kweli au la😅
 
Una uhakika? Angalia mabilionea wengi Marekani asili yao sio Pale huyo Musk mwenyewe akiwa ni mfano. Wanakwenda kule sababu ni rahisi kwao kufanya Huo ujanja ujanja.


Angalia Kodi waliolipa Matajiri 25 then linganisha na mpunga wao utaelewa. Bezos hajalipa kodi 2007 mpaka 2011, musk hajalipa kabisa hata thumni 2018

Wote Kuanzia Bill Gate enzi zake, kina Bezos, Musk etc wana scandal za kutosha tu.
Na ndio utajiri wenyewe huo unataka uwe unalipalipa tu mavitu..😂
 
Back
Top Bottom