Elon Musk arejea tena kuwa tajiri namba 1 Duniani

Elon Musk arejea tena kuwa tajiri namba 1 Duniani

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2014
Posts
4,051
Reaction score
12,954
Mmiliki wa mtandao wa Twitter na mkurugenzi wa kampuni ya magari ya umeme ya Tesla Bwana Elon Musk amerejea kwa mara nyingine tena kuwa tajiri namba moja Duniani.

Tukumbuke kwamba Elon amekuwa akipoteza nafasi ya kwanza utajiri Duniani mara kadhaa na kurejea toka November mwaka jana kutokana na kushuka na kupanda kwa hisa za kampuni yake ya Tesla.

Elon anasikitiza kwamba pamoja na kwamba yeye anachelewa kulala na analala kwa saa 6 kwa siku lakini ni vyema watu wakawahi kulala na kupata muda mwingi wa kupumzika. Elon anashauri kama huna dharula, usimpigie mtu simu kuanzia sa 3 usiku na kabla ya sa 3 asubuhi.

 
H
Mmiliki wa mtandao wa Twitter na mkurugenzi wa kampuni ya magari ya umeme ya Tesla Bwana Elon Musk amerejea kwa mara nyingine tena kua tajiri namba moja Duniani.

Tukumbuke kwamba Elon amekua akipoteza nafasi ya kwanza utajiri Duniani mara kadhaa na kurejea toka November mwaka jana kutokana na kushuka na kupanda kwa hisa za kampuni yake ya Tesla.

Elon anasikitiza kwamba pamoja na kwmaba yeye nanachelewa kulala na analala kwa masaa 6 kwa siku lakini ni vyema watu wakawahi kulala na kupata muda mwingi wa kupumzika. Elon anashauri kama huna dharula, usimpigie mtu simu kuanzia sa 3 usiku na kabla ya sa 3 asubuhi.

Tesla yanauzwa nchi gani, mbona huku hayapo? then why bother with gasoline in the world?
 
Inamaana haya mamidoli aliyoyatoa juzi kati ya kuhapa na pale yatakuwa yameshauzwa vya kutosha nini!!?
 
Back
Top Bottom