BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Elon Musk amechukua hatua za kisheria kumwita mwanzilishi mwenza wa Twitter, Jack Dorsey kufika Mahakamani akiwa kama mtetezi wake kuhusu kusitisha malipo ya zaidi ya Tsh. Trilioni 102 ili kuinunua Twitter.
Mawakili wa Musk walimpigia simu bosi wa zamani wa Twitter Jack Dorsey ambaye anatajwa kuwa na urafiki na Elon wakimtaka kutoa msaada wa utetezi na kukubaliana na mmiliki huyo wa Tesla kuwa Twitter hawasemi ukweli kuhusu watumiaji ghushi wa mtandao huo.
Upande wa Twitter nao wanamuomba Jaji anayesikiliza kesi hiyo kumuamuru Elon Musk ambaye ni tajiri wa kwanza duniani kukamilisha ununuzi wa kila hisa kwa bei ya Tsh. 126,394 kama walivyokubaliana awali.
===========================
Elon Musk has launched legal action to summon Twitter co-founder Jack Dorsey to appear in court as part of his legal battle with the tech company.
Mr Musk is seeking to end his $44bn deal for Twitter after alleging the firm failed to provide enough information on fake account numbers.
But the social media site is suing Mr Musk to try to force him to buy it.
The case will be heard in Delaware, US, in October unless both parties decide to settle outside of court beforehand.
Twitter hopes that a judge will order Mr Musk - who is the world's richest man - to complete the takeover at the agreed price of $54.20 per share.
But as part of the trial preparations, lawyers for Mr Musk have called on his friend, the former boss of Twitter Mr Dorsey, in the hope that he will help support the Tesla boss's argument that the social media company hasn't been honest about the volume of fake accounts on its platform.
BBC
Mawakili wa Musk walimpigia simu bosi wa zamani wa Twitter Jack Dorsey ambaye anatajwa kuwa na urafiki na Elon wakimtaka kutoa msaada wa utetezi na kukubaliana na mmiliki huyo wa Tesla kuwa Twitter hawasemi ukweli kuhusu watumiaji ghushi wa mtandao huo.
Upande wa Twitter nao wanamuomba Jaji anayesikiliza kesi hiyo kumuamuru Elon Musk ambaye ni tajiri wa kwanza duniani kukamilisha ununuzi wa kila hisa kwa bei ya Tsh. 126,394 kama walivyokubaliana awali.
===========================
Elon Musk has launched legal action to summon Twitter co-founder Jack Dorsey to appear in court as part of his legal battle with the tech company.
Mr Musk is seeking to end his $44bn deal for Twitter after alleging the firm failed to provide enough information on fake account numbers.
But the social media site is suing Mr Musk to try to force him to buy it.
The case will be heard in Delaware, US, in October unless both parties decide to settle outside of court beforehand.
Twitter hopes that a judge will order Mr Musk - who is the world's richest man - to complete the takeover at the agreed price of $54.20 per share.
But as part of the trial preparations, lawyers for Mr Musk have called on his friend, the former boss of Twitter Mr Dorsey, in the hope that he will help support the Tesla boss's argument that the social media company hasn't been honest about the volume of fake accounts on its platform.
BBC