Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Hizo machine za Elon Musk zita-corrupt!🤣😂Elon Musk anaendelea na tafiti zake za kisayansi na masuala mazima ya IA. Sasa anajaribu kupandikiza Ubongo kwa Binadamu ambao utaunganishwa na Computer.
Ushauri wangu. Akamate mwana CCM kwa ngazi yoyote ile kuanzia kapuku mimi hadi aliye na wadhifa. Hawa wakamatwe wafanyie majaribio hayo ya Ubongo bandia. Labda inaweza saidia mambo flani yakakaa sawa.
Haya majangili yatapiga K-vant au konyangi huo ubongo uyeyukeElon Musk anaendelea na tafiti zake za kisayansi na masuala mazima ya IA. Sasa anajaribu kupandikiza Ubongo kwa Binadamu ambao utaunganishwa na Computer.
Ushauri wangu. Akamate mwana CCM kwa ngazi yoyote ile kuanzia kapuku mimi hadi aliye na wadhifa. Hawa wakamatwe wafanyie majaribio hayo ya Ubongo bandia. Labda inaweza saidia mambo flani yakakaa sawa.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Ushauri wangu. Akamate mwana CCM kwa ngazi yoyote ile kuanzia kapuku mimi hadi aliye na wadhifa. Hawa wakamatwe wafanyie majaribio hayo ya Ubongo bandia. Labda inaweza saidia mambo flani yakakaa sawa.
NinAI siyo "IA".Elon Musk anaendelea na tafiti zake za kisayansi na masuala mazima ya IA. Sasa anajaribu kupandikiza Ubongo kwa Binadamu ambao utaunganishwa na Computer.
Ushauri wangu. Akamate mwana CCM kwa ngazi yoyote ile kuanzia kapuku mimi hadi aliye na wadhifa. Hawa wakamatwe wafanyie majaribio hayo ya Ubongo bandia. Labda inaweza saidia mambo flani yakakaa sawa.
😂😂😂 Japo wewe ni mwansCCM uzi wako ni wakibunifu,..Elon Musk anaendelea na tafiti zake za kisayansi na masuala mazima ya IA. Sasa anajaribu kupandikiza Ubongo kwa Binadamu ambao utaunganishwa na Computer.
Ushauri wangu. Akamate mwana CCM kwa ngazi yoyote ile kuanzia kapuku mimi hadi aliye na wadhifa. Hawa wakamatwe wafanyie majaribio hayo ya Ubongo bandia. Labda inaweza saidia mambo flani yakakaa sawa.
👍Kongole mamaa 'Kifimbocheza'NinAI siyo "IA".
Si afadhali hata akili watakuwa wamepata kidogo. Little is better than nothingSasa hao wana ccm wakipandikizwa akili bandia huoni kuwa wataendesha nchi kama robot na kuwa kero zaidi?
[emoji38][emoji38]Elon Musk anaendelea na tafiti zake za kisayansi na masuala mazima ya AI. (Artificial Intelligence) Sasa anajaribu kupandikiza Ubongo kwa Binadamu ambao utaunganishwa na Computer.
Ushauri wangu. Akamate mwana CCM kwa ngazi yoyote ile kuanzia kapuku mimi hadi aliye na wadhifa. Hawa wakamatwe wafanyie majaribio hayo ya Ubongo bandia. Labda inaweza saidia mambo flani yakakaa sawa.