ELON MUSK: Jeff Bezos afanye kazi kwa bidii kuliko kushinda bafuni

ELON MUSK: Jeff Bezos afanye kazi kwa bidii kuliko kushinda bafuni

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
Elon Musk ametoa ushauri kwa tajiri mwezake Jeff Bezos afanye kazi kwa bidii kama anataka kutengeneza pesa katika biashara ya vyombo vya angani.

“Bezos anatakiwa kupoteza muda zaidi katika kampuni yake ya Space ya Blue Origin na kutumia muda kidogo kushinda katika bafu la maji ya moto. Bezos ana uwezo katika uhandisi lakini akili yake na mwili hauko tayari kufanya uhandisi” maneno ya Elon Musk katika interview yake na Financial Times.

Elon Musk ni muanzilishi wa Space X lakini pia ndio mhandisi mkuu katika kampuni.
 
Jamaa ana utani mwingi yani ni mtu anapenda kuongea mambo ya utani utani.

Mfano ile picha aliyopost ya CEO mpya wa twitter akiwa na CEO aliyeondoka kwa kubandika sura kwa Stalin.

Pia kila mara anampiga madongo Bezos kwakuwa wana ushindani wa kibiashara na juzi juzi kesi ya Bezos imetupiliwa mbali
 
Wenzetu wako mbali sana

Akina sisi tunafumbua misambwanda nani

Ana msambwanda mkubwa zaidi

Ova
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums390048234.jpg


Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom