Elon Musk kuleta Intaneti ni tishio kwa mitandao ya simu, atapora wateja wenye matumizi makubwa na kuteka soko sehemu ambazo network inasumbua

Hata Malawi , kifurushi cha 35, 000 bongo , Nkata bay ni elfu 8 za kibongo
 
Hawawezi kushindana na wakati. Wakithubutu wataishia kupata maumivu.
Ni sisi wananchi ndio tutapata maumivu, hawo mawaziri wana unlimited internet isiyo na kikomo ofisini, kwenye simu na kwenye nyumba zao.

Ni sisi wananchi wa kawaida ndio tunaumia kununua vifurushi vya kupimiwa MB / GB utadhani tunanunua ndonya za mchele
 
Nadhani kuna masafa (frequency) ambazo watatakiwa kupewa ili kuweza ku access eneo hilo, ila kwa wale wa mipakani nadhani ni possible ku access huduma hiyo kutoka nchi wanazopakana!
 
Nadhani kuna masafa (frequency) ambazo watatakiwa kupewa ili kuweza ku access eneo hilo, ila kwa wale wa mipakani nadhani ni possible ku access huduma hiyo kutoka nchi wanazopakana!
Cellular broadband na Radio FM/AM/SW ndiyo unapewa masafa, maana inatumia minara

Satellite broadband hupewi masafa

Canal Plus (sawa na DSTV) haitambuliki na TCRA, lakini inapiga mzigo kama kawa kwa Tz

wakipiga pini StarLink , wadau watanunua miundombinu toka Kenya au Nigeria
 
Hivi unadhani kwanini Bundle la Bongo lina gharama sana Kwamba Cost of Bandwith au overheads ni kubwa ?

Jibu ni Serikali yako..., kwahio hata wewe ukileta bundle ya bure bado cost kwa mteja itakuwa na gharama...

 
Nadhani kuna masafa (frequency) ambazo watatakiwa kupewa ili kuweza ku access eneo hilo, ila kwa wale wa mipakani nadhani ni possible ku access huduma hiyo kutoka nchi wanazopakana!
haipo hivyo, wanachoomba ni kibali tu wafanye biashara hapa kwetu, kuwe na sehemu ya kununua vifaa, mafundi, mifumo ya kulipa vifurushi, n.k.

Kama mtu akiweza kuvipata vifaa kutoka nchi zilizoruhusu akaja kuweka hapa kwetu anatumia vizuri tu, ila inabidi atumie kiwizi wizi maana akidakwa msala huo.

Hii internet ni ya Sattelite sio minara,

Ni sawa na vingamuzi vya azam huenda havijaruhusiwa Malawi lakini mtu akitoka nacho huku anaweza kukitumia Malawi, kwakuwa Malawi hakuna mfumo wa malipo ya vifurushi vya Azam itabidi atafute njia ya kutuma pesa zifike kwa mtu wa huku kwetu ili afanyiwe malipo ya kingamuzi chake.
 
Ok, sijui ndugu zetu wa TTCL na Mkonga wao wa Internet wamejipangaje, nakiona kifo chao.

Hapa ni mawili; fighting them ama joining them!!
 
Mawazo mgando . Kwani habar za freemason ndio unasikia Leo? Mambo mangapi mpaka hii Leo yamehusishwa na freemason na bado hatukuweza kukwepa?? Tafakar upya mkuu .kwani teknolojia ngapi mpaka Leo umezipokea?
Shauri zenu endeleeni kushabikia tu Freemason. Mkishatoa kafara wapendwa wenu halafu ifike zamu yako wakunyofoe viungo utabaki kulialia laiti ningejuwa but too late.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…