Elon Musk: Starlink haijaruhusiwa kufanya kazi Africa ya Kusini kwa sababu mimi sio mtu mweusi

Elon Musk: Starlink haijaruhusiwa kufanya kazi Africa ya Kusini kwa sababu mimi sio mtu mweusi

Huyu kaburu ni kama amechangakiwa sasa,
Inasikitisha raia Marekani wamekubali kuwa Rais Mwenza wa Trump kuwaongoza.
 
Waafrika Msimu Huu wa D Trump Tunanyooshwa Mwendo MperaMpera Tulizoea Vya Dezo na Vya Bure Hakuna cha maana tunachofanya Tunachowaza Ni Kuzaliana Tu Kama Nguruwe Pori. Tujifunze Kujitegemea na Sio Kutegemea Vya Makaburu. Ukweli Mchungu Africa is a failed continent. Pathetic
 
Back
Top Bottom