ELON MUSK TRILIONEA AJAE MAREKANI US 🇺🇸

ELON MUSK TRILIONEA AJAE MAREKANI US 🇺🇸

Kinyayo

Member
Joined
Aug 17, 2016
Posts
82
Reaction score
46
wana JF hongereni kwa kusimamia ndoto zenu!

Dg zangu.

Wachambuzi wa matajiri wa marekani, wamemtabiri bilionea ELON MUSK aka GAME CHANGER mmiliki wa Tesla,space X Star link na n.K, atakuwa ndiye tajiri wa kwanza kwa bara hilo lenye idadi kubwa ya mabilionea wenye ukwasi wa kutisha ulimwengu kumiliki dola hadi kufikia TRILIONEA kwa kipindi kifupi kijacho ikiwa utajiri wake utaendelea kukua kwa kasi kma ilivyo kwa sasa.
FB_IMG_1732279786672.jpg


Jambo ambalo halijawahi kutokea mtu yoyote kumiliki kiasi hicho cha pesa Tangu uhuru wa MAREKANI 1776
 

Attachments

  • FB_IMG_1721718555916.jpg
    FB_IMG_1721718555916.jpg
    31.4 KB · Views: 3
wana JF hongereni kwa kusimamia ndoto zenu!

Dg zangu.

Wachambuzi wa matajiri wa marekani, wamemtabiri bilionea ELON MUSK aka GAME CHANGER mmiliki wa Tesla,space X Star link na n.K, atakuwa ndiye tajiri wa kwanza kwa bara hilo lenye idadi kubwa ya mabilionea wenye ukwasi wa kutisha ulimwengu kumiliki dola hadi kufikia TRILIONEA kwa kipindi kifupi kijacho ikiwa utajiri wake utaendelea kukua kwa kasi kma ilivyo kwa sasa.
View attachment 3176465

Jambo ambalo halijawahi kutokea mtu yoyote kumiliki kiasi hicho cha pesa Tangu uhuru wa MAREKANI 1776
Us anazidi kutengeneza matajiri, hao ndio wana run uchumi. Wakati nchi fulani ukiwa tajiri ni vita
 
Back
Top Bottom