Elvis A. Musiba afariki dunia!

X-PASTER

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
11,605
Reaction score
1,843


Nimepokea taarifa zinazosema kuwa,

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa "Tanzania Chamber of Commerce, Industry & Agriculture" (TCCIA) Bwana ELVIS A. MUSIBA amefariki dunia alfajiri ya leo.

Habari za mipango ya mazishi zitafuata mara tu baada ya kupatikana.

Kwa watu walioko London, mnakaribishwa kwa binti yake, Lisa Musiba, anwani ni:

6 MANTON Rd
ENFIELD
MIDDLESEX
LONDON,
EN3 6XZ

Mobile: 07949737185

Pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki na wale wote mliofikwa na msiba huu.

Roho ya Marehemu Elvis A. Musiba ipumzike pema.

AMIN.



source: http://www.wavuti.com/
 
Duh alikua mjasiria mali mzuri mzalendo.
 
Alikuwa mgonjwa? Poleni sawa wafiwa. Roho yake ipate mapumziko ya amani milele. RIP
 
ooh, sorry, what transpired? has he been sick? R.I.P!
 
May the Almighty God Rest your Soul in Eternal Peace. Amen. Poleni familia.
 
:rip: Poleni wandugu na jamaa. Mungu awe nanyi.
 

R I P Elvis ...

...will always remember the books

...my favorate... Kufa na kupona!

Poleni sana ndugu , jamaa na marafiki!
 
Too hard to swallow!
Imekuwaje ghafla hivi?
Jina la Bwana libarikiwe!
 
Alikuwa mgonjwa? Poleni sawa wafiwa. Roho yake ipate mapumziko ya amani milele. RIP

yah alikuwa mgonjwa na ndani ya wiki mbili tatu zilizopita alikuwa serious sick

RIP E Musiba, utakumbukwa kwa uzalendo wako na kwa wale wapenzi wa riwaya wa zamani watakukumbuka sana katikavitabu vyako
1 KIKOSI CHA KISASI (KK)
2 KUFA NA KUPONA
3 HOFU
4 KIKOMO
5 HUJUMA
 
RIP.

Nakumbuka sana vitabu vyake vya Kufa na Kupona; Njama; Kikosi Cha Kisasi nk. Alikuwa pia ni Mwandishi Mzuri.
 
Too hard to swallow!
Imekuwaje ghafla hivi?
Jina la Bwana libarikiwe!

Kafariki akiwa amelazwa hospitalini, hakufa ghafla nyumbani; kwa maana hiyo alikuwa na tatizo la kiafya / mgonjwa. RIP Musiba, we will miss you.
 
Rest in peache Brother.... we are on the way coming. Pray for our Election if you can.
 
Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe! Poleni wafiwa, pole bwa'mdogo (Musiba Junior), wa Channel Ten na Magic FM!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…