Emanuel Mbasha: Shilole pambana na hali yako, usipende mteremko

Tule mwanae anayesoma IST?
Int school of Tanganyika.
Ada mil 50.
 
Itakuwa kaandikiwa. Simwoni kama mtu mwenye uwezo wa akili kutema madini haya.
 
Kiboko yao Mange Kimambi!hawa wasanii wakafie mbele nawa maindi sana kujifanya wao ccm huku wanakuja kutulilia shida
 
Hivi huyu anavyoitwa ni msanii wa nyimbo za injili aliwahi kuimba wimbo gani ama kutoa albamu gani?
 
we hujielewi dunia imakoelekea, upo upo tu ilimradi usiku umeingia
Huyu jamaa hayupo sawa kisaikolojia naona anahangaika sana kushinda mwanamke wake wa zamani frola mbasha.
 
Wasanii wa bongo wamegeuka omba omba,kila mtu anataka asaidiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…