Vipi ulipata?Jamani nisaidieni wimbo wa huyu jamaa unaitwa PAIN IN MEA, nimeutafuta search engine zote but hajuna mwenye nao please anitumie, nitashukuru sana
By warumi dinazarde
Mbona zimefunguka vizuri.....eeh mwisho inandika unsuccessful download,nini tatizo
Bonyeza kwenye hicho kimshale kinachoangalia chinikwangu haifunguki umefanyaje wewe
hata mimi zinafail sijiui tatizo niniMbona zimefunguka vizuri.....
zimekubali mkuu kumbe tatizo ilikuwa memory cardMbona zimefunguka vizuri.....
Mi pia ilikua hivyo, nikaamua kuingia jf kwa kutumia browser zikakubaliKwangu zote zinarudia wimbo mmoja "umasikini m'baya"..
Nisaidieni nauhitaji sana huo Miss Tanzania