Facilitator
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,279
- 1,772
check hiyo warumi
Hope umezipata, i got a library kwa nyimbo nyingi za wasanii wa zamani kama hao na wengine (bongo flava era)Nimetafutaga sana nyimbo za huyu jamaa
Amen mkuu!!Dah, wee jamaa leo ntamshukuru Mungu kipekee kwa ajili yako. Nimeutafuta sana huu wimbo wa Miss Tanzania. Thank you brother. Mungu akupe wepesi, akupe haja ya moyo wako. Amen
Yuko zake marekani anapoishihuyu mwamba kapotea kwenye ramani kabisa. Soko la entertainment la bongo bila uchawi/hirizi hutoboi. ukija na kiingereza toka ughaibuni ndo kabisaa
Mjanja angebaki bongo angeshaangushiwa jumba bovu Kama B12Yuko zake marekani anapoishi
Ova
Aliondoka kitambo sana akarudi bongoMjanja angebaki bongo angeshaangushiwa jumba bovu Kama B12
Yupo zake Los Angeles anafanya mishe mingine nje ya Music,huyu mwamba kapotea kwenye ramani kabisa. Soko la entertainment la bongo bila uchawi/hirizi hutoboi. ukija na kiingereza toka ughaibuni ndo kabisaa
Labda arudi Kama amemiss kung'atwa na mbuYupo zake Los Angeles anafanya mishe mingine nje ya Music,
Ukiwa unaingiza pesa zako kila baada ya masaa bongo unarudi kufanya nini?
mkuu unazo nyimbo za unique sisters?? Mana nimezitafuta snHope umezipata, i got a library kwa nyimbo nyingi za wasanii wa zamani kama hao na wengine (bongo flava era)