Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,051
- 461
Usisahau embe bolibo!
Hizi ni embe za kawaida ama vijana mko na lugha zenu za kibitozi?
Hizi ni embe za kawaida ama vijana mko na lugha zenu za kibitozi?
Katika Pitapita zangu nimekuta watu wakibishana, ebwana eee acha embe la kibada Kiboko mtu wangu, mmoja akadakia hilo cha mtoto wewe nenda Kahama huko embe la kujidondokea mwanangu ukionja huachi, mwingine kasema hiiiiiiiiiiii Hamjaenda Ntwara nyie kula kila aina ya embe dodo, embe sindano na kibao, Kaja jamaa mwingine huyu alionekana Shomile, nyiye nendeni Bukoba maembe dodo ya kumwaga....swali je, wewe unapenda embe gani? Lile la Kibada(Karibu na Mjini), La Kahama chapa ng'ombe, Kwa Nshomile wazee wa Katerero au huko Ntwara Kumnyima Ntu dhambi?
maembe maembe au jamani mwanicha huku huku niliko hamnichukuiii??????? kama maembe maembe na mi pia ntachangia,,,,ni membe jamani?
ushaachwa bibie, subiri labda wakirudi tena. tehe teh
embe maziwa kwa afya
pole weyeeeeendio naona niko peke yangu,,,,,,, mh,,, hii jf hii,,,
pole weyeeeee
nimeshakuchukua, tuondoke bibiehaya asante,,,,mi najua umekuja kunichukua kumbeeee mh,,,haya nashkuru nshapoa,,,
nimeshakuchukua, tuondoke bibie
Nenda zenj mitaa ya tunguu na kundelea mkoa wa kusini kuna embe zinaitwa mbichi tamu, yaani ni mbichi halafu tamu vibaya, umenipata kijana
wanichukua mdomo mkavu,,, ????? khaaa
maembe maembe au jamani mwanicha huku huku niliko hamnichukuiii??????? kama maembe maembe na mi pia ntachangia,,,,ni membe jamani?