MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Wadau naomba m-share experience yenu ambao mm bahatika kufika na kuishi katika nchi hizi mbili Rwanda / Zambia
Napenda kufahamu mfumo wao wa maisha, mazingira ya kufanya biashara, social interaction na wageni ipoje.
Karibuni wapendwa.
H
Hapa zambia mimi naingia bila passport
😂😂 Kwa hiyo wanao kwenda rwanda ni wenye IQ kubwa tu ? Kwa hiyo madereva malori wale wana IQ kubwa ?Kama hauna IQ kubwa usiende Rwanda.
Warembo sana ila Mbukunyu zao zina maji sanaNizungumzie Rwanda, maisha kule ni ghali, mfumo wa ufanyaji biashara ni mgumu maana umekuwa centralized yaani kuanzisha kabiashara kadogo tu hadi makao makuu ya nchi wajue, ni mountainous country, ina wanawake warembo, pia wapo juu kwa usafi.
Dah, Rwanda warembo ndio wananikosha tuuu!Wadau naomba m-share experience yenu ambao mm bahatika kufika na kuishi katika nchi hizi mbili Rwanda / Zambia
Napenda kufahamu mfumo wao wa maisha, mazingira ya kufanya biashara, social interaction na wageni ipoje.
Karibuni wapendwa.
HeeeeH
Hapa zambia mimi naingia bila passport
Sana kwa electronic devices.Zambia ni sehemu sahihi ya kufanya biashara Watanzania wengi wapo miji mikubwa wewe nenda upande wa solwezi karibu na Angola kule kuna machimbo na mzunguko wa pesa upo ila akikisha passport ipo sawa maana uhamiaji wa Zambia kwenye hilo wapo makini mno kuliko vitu vingine...sehemu hizo unaenda na nauli na hela ya kukaa siku chache tuu ukiona fursa unaagiza watu waliokuepo daslm wananunua bidha unatumiwa wao Kodi sio kizungumkuti kama Puerto Rico...
Kimbembe cha ugenini ni pale unapopata kesi na kufuatiliwa uraia wako,mfano bongo ukiwa tishio kwa ccm.H
Hapa zambia mimi naingia bila passport
Tena Kyela wamejaa wanawake wa Malawi wengi kweli, kazi zao ni u house girl, bar maid, na kujiuza. Ni wengi mno niliwakuta mpaka ndani ndani huko vijijini.Huko ni umaskini tu, wadada/wamama wao wamejaa bongo wakitumika kama wafanyakazi za ndani..
50 kwa 50 kiaje jamaa.Rwanda biashara Ni ngum na mbususu pia kule 50 kwa 50 ndo mahala pake.