mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,257
- 1,543
Eti makamanda mfano wewe ndio MBOWE au Zitto au viongozi wengine wote wa upinzani kwenye kampeni mtawaambia Nini wananchi ili wawachague Tena?
Maana sera zote muhimu Rais Magufuli amesha zifanyia kazi
Au mtawaambia serikali ime muua Akwelina
Au serikali imempiga risasi Tundu Lisu
Au mtawaambia mnataka tume huru
Na ni vipi mtaweza kuikosoa serikali wakati mwenyekiti wenu kufika tu Hai kaenda kupiga picha na kuonyesha watanzania kua serikali iliopo inafanya kazi
Au mtawaambia wananchi Serikali haikufunga Lock down? Nawashauri msijaribu hata kuiongelea Corona mtakua mmewakumbusha watanzania ujinga wenu
Maana sera zote muhimu Rais Magufuli amesha zifanyia kazi
Au mtawaambia serikali ime muua Akwelina
Au serikali imempiga risasi Tundu Lisu
Au mtawaambia mnataka tume huru
Na ni vipi mtaweza kuikosoa serikali wakati mwenyekiti wenu kufika tu Hai kaenda kupiga picha na kuonyesha watanzania kua serikali iliopo inafanya kazi
Au mtawaambia wananchi Serikali haikufunga Lock down? Nawashauri msijaribu hata kuiongelea Corona mtakua mmewakumbusha watanzania ujinga wenu