Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Vumilia hiyo hali itapitaZa jioni natumai wote mmekula na kushiba!
Mwezenu sasa hapa nimepata ka feeling fulani hivi yaani natamani mtoto wa mtu anipende two yaani anione wivu mda wote yaani mda wote aniembie tu ilove you
Natamani nimpendeeeeee sna mda wote niwe nae karibu
Hebu toka hapa......
Piga puli ulale
Vumilia hiyo hali itapita
"Embu" ndo nini?
Toka nje nenda kanunue
Za jioni natumai wote mmekula na kushiba!
Mwezenu sasa hapa nimepata ka feeling fulani hivi yaani natamani mtoto wa mtu anipende two yaani anione wivu mda wote yaani mda wote aniembie tu ilove you
Natamani nimpendeeeeee sna mda wote niwe nae karibu
Mazara ya nyege
Ohh! Kumbe embu inatumiwa na watu wa Kaskazini. Chukua huu ujumbe wa video.
View attachment 2485091
unapesaaaa????[emoji1787][emoji1787] utapata vyote hivyo kama huna
hiyo ni ndoto amka toka usingizini mai dia fureeend
View attachment 2485097
ENdeleza ujinga!