Annonymous
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 688
- 1,126
Kaushaaaaaaaaaaaaa mambo madogo tu hayo. Tutaelewana kijiweniNitalipot kwa kaka mkubwa ase
Mjinga sana wewe 😂😂😂 etMwachiluwi
Hili jina unisamehe bure nlilisoma chubwichubwi.
Nimekupenda sana sana tuDadeQ halafu usife. Labda kama sio sherehe ya To yeye
Mwambie nipo nawewe kidete akikureport ni tag mkuu umenifurahisha mwanetuKaushaaaaaaaaaaaaa mambo madogo tu hayo. Tutaelewana kijiweni
Ahahaha acha basi unataka kumchuna kijana wa watu katoka kwao uko kalima karafuu kaja mjini na pesa zake unataka kumchunaNimekupenda sana sana tu
Ukija kijiweni usisahu ka posho 😂Kaushaaaaaaaaaaaaa mambo madogo tu hayo. Tutaelewana kijiweni
Afutatu na Afukeki juuUkija kijiweni usisahu ka posho 😂
Unamshataki kidume Cha ukweliUkija kijiweni usisahu ka posho 😂
Una hela Mwachi??????Nikupigie pande kwa mama paulina anarudi toka dubai mda si.mrefu????? Huyo atakufaaZa jioni natumai wote mmekula na kushiba!
Mwezenu sasa hapa nimepata ka feeling fulani hivi yaani natamani mtoto wa mtu anipende tu yaani anione wivu mda wote yaani mda wote aniembie tu ilove you
Natamani nimpendeeeeee sna mda wote niwe nae karibu
Mwanangu fanya unyama bhnaUna hela Mwachi??????Nikupigie pande kwa mama paulina anarudi toka dubai mda si.mrefu????? Huyo atakufaa
Hana hela anasubiri aoleweUna hela Mwachi??????Nikupigie pande kwa mama paulina anarudi toka dubai mda si.mrefu????? Huyo atakufaa
Ongeza ziro moja basAfutatu na Afukeki juu
🤣🤣🤣🤣🤣Anakusikia ujueHana hela anasubiri aolewe
Unamuogopa🤣🤣🤣🤣🤣Anakusikia ujue
Unyama sawa ila una hela maana dadangu mama paulina namjua mwenyewe🤣🤣🤣Mwanangu fanya unyama bhna
Unamuogopa!!!!!🤣🤣🤣🤣🤣