Emelda Mwamanga(BANG) aelezea bifu lake na Jacky pamoja na the late Mengi

But J is the richest of them all now ooops lol
 
😁😁😁 ule usemi wa baba ni kichwa ya family utadhihirika sasa
 
Na wale wenye doctorate na uprofesa wamefanya nini cha maana kwa manufaa ya watanzania ?
Wenye doctorate na uprofesa umewataja wewe hivyo wewe ndo utaje walichokifanya kwa manufaa ya Tanzania maana mimi nimemzungumzia huyu wa darasa la saba...!!
 
Emelda ila kapoa nw ..namuonaga Mbezi beach ...
Huyu alifilisika kwa kutaka kuishi lavish life kushinda kipato chake. Mumewe aliongeza mtaji mule biashara ikatanuka bibie akaanza kuishi ki-posh jamaa alipojitoa biashara ikasambaratika. Na si unajua tena enzi za jiwe zile za kupiga toka kwa mdingi zikakata
 
Kina Eme wanazo (matajiri)? Toka lini? Mbona alifilisika? Labda useme ni wasomi (tena wastani). Kafulia mpaka kashindwa kuchangia kile kikundi cha kinadada cha ARAIZ.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…