celinawetu
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 1,330
- 1,059
KamweneJamani mnatutenga humu jamvini tusiojua lugha hiyo........
Mjasiriamali umemaanisha nini hapo juu kwenye "Ekyawe kyawe kijunda nokala!" ???
Nzuri joto na mvua kwa wingi. Vipi wanaendeleaje huko nyumbani umewasiliana nao?Nipo mama.
Habari yako
Wengine mbona ndiyo wahanga wenyewe!mpo bize tu kuchat kiluga sijaona hata mwenye wazo la kuchangia wahanga wa tetemeko! kiluga chenu sijui ila najua ningeona walau maneno kama blanket, hahahahah,
Ekyawe kyawe kijunda nokala!
Ekyawe kyawe kijunda nokala!
Huku kwema kabisa mama.Nzuri joto na mvua kwa wingi. Vipi wanaendeleaje huko nyumbani umewasiliana nao?
Ikengya nka notela omukazi wenda,,,,,ati bali babili nibankoba.Je, naweza kupata misemoya mtu aitwaye Ikengya?
Acha matusi mkuu,Mungu anakuonaSHINDOLKO LA MWNK=SU ESTÚPIDA