Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Tatizo ni kichwa chako Mkuu. PoleSijui ni mimi kichwa changu kigumu au ni muanzisha mada haeleweki anataka kusema nini!
Anachota kukujilisha kuwa yuko nje ya inchi na kapanda bonge la pipa la Emirates Airlines ambayo bongo haiwezi kuja labda baada ya miaka 500Kwan mkuu unamaanisha nin?
Akijibu unitagKwan mkuu unamaanisha nin?
Huenda wewe ni Ngumbaru mwenzangu huwa tunajaa chuki tujisikia mtu kakwea pipa Kama Hilo. Tunaishia kukosa sentensi maana hatuna ya kuchangiaSijui ni mimi kichwa changu kigumu au ni muanzisha mada haeleweki anataka kusema nini!
GCC yote including UAE **hasa Dubai na Abu Dhabi"",Oman, Kuwait, Saudia na Qatar hawanaga Shughuli ndogo kwenye Airline businessHawa waarabu hawanaga jambo dogo. Fikiria safari ya Dakika 45 (Dubai to Manama/Bahrain) wanarusha mzinga wa pipa wa abiria yapata 400. Itachukua miaka 500 na filamu kadhaa kuwafikia.
View attachment 2215825
View attachment 2215831
Wamanga walijitambua mapema Leo wanakula matunda. Fikiria FIFA World Cup 2022 inafanyika Jangwani Qatar. Achana na jeur ya pesaHawa waarabu hawanaga jambo dogo. Fikiria safari ya Dakika 45 (Dubai to Manama/Bahrain) wanarusha mzinga wa pipa wa abiria yapata 400. Itachukua miaka 500 na filamu kadhaa kuwafikia.
View attachment 2215825
View attachment 2215831
Mmh lini hiyo?Mbona mapipa yetu uwa yana beba ata abiria 10 na hatuwazi
Pesa kama zoteUarabuni pesa ipo. Akili ndo mzozo
Tulambe asaliKwan mkuu unamaanisha nin?
Emirates Wana chakavu? Au umechanganya na Ethiopian?Ila DXB -JNIA wanaleta ndege chakavu!
Sijui ni mimi kichwa changu kigumu au ni muanzisha mada haeleweki anataka kusema nini!