Emma the boy ni nani?

Kelvin X

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2011
Posts
1,940
Reaction score
2,401
huyu jamaa ni nani? namsikia tu wana mtaja sana wasanii kwenye nyimbo zao, au ndo wale ma papaa wa mjini. Kama kuna anae mjua naomba atupe kapicha kidogo
 
huyu jamaa ni nani? namsikia tu wana mtaja sana wasanii kwenye nyimbo zao, au ndo wale ma papaa wa mjini. Kama kuna anae mjua naomba atupe kapicha kidogo
Huyo jamaa ni producer wa muziki ambae kazi zake alikuwa anafanyia THT ila kwa sasa sijui kama bado hajaanza kufanya kazi za kujitegemea, na huko kutajwa ni kuashiria kuwa wimbo unaoskiliza umepikwa na yeye
 
Jamaa naona amepatwa na wivu cuz Emma anatajwa sana kwenye nyimbo za madem
 
Kama unataka mawasiliano yake mimi nitakupatia,vipi unataka kufanya nae kazi ......??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…