Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Time will tell. Huyu jamaa sijui TFF imemuokota wapi. Sioni kama Taifa stars itafanya vizuri chini ya huyu kocha. Ameshawatenga wachezaji. Ana chuki na inaonekana haufaham mpira wa tanzania.
Nasema tena time will tell. Ameanza na mguu mbaya mwisho wake ni nadra sana kuwa mwema.
Nasema tena time will tell. Ameanza na mguu mbaya mwisho wake ni nadra sana kuwa mwema.