Mkuu samahani kukuulizia huku, ile hadithi ambayo paka ni muhusika ni ya kweli na ilitokea kwako au ulimwakilisha mtu? Fantastic stori aisee,Wanawake viumbe visivyo na akili duniani
Haahhah hiyo mbinu yangu ili kuwakwepa HESLB, naandika watoto kwa chochote kile, kumbe nauwa ndege wawili kwa jiwe mojanawe pia mkuu.. heri ya mwaka mpya.. hawa viumbe sio wa kuwaamini 100% ni bora hata uandike majina ya watoto ila sio hawa mama zao
hahahaha wakikukamata watagawana mali hizoHaahhah hiyo mbinu yangu ili kuwakwepa HESLB, naandika watoto kwa chochote kile, kumbe nauwa ndege wawili kwa jiwe moja
Hasa kwa case ya jamaa hawajagawana nusu ila kaporwa yote vinginevyo ingekuwa hivyo hasingekuwa na umaskini kama unaomwandama sasaHata angeoa mweusi mwenzake sheria ni ile ile nusu kwa nusu
Mali zote ni watoto, labda pension hiyo ya Gepf, heeheh hata huko kuna pesa kidogo mana kamshahara kangu kadogo sanahahahaha wakikukamata watagawana mali hizo
Pension naacha ili na wengine wasome pia kama nilivyokopesha mimihahahaha wakikukamata watagawana mali hizo
....Pia ni viumbe wakatili sanaa at times...Wanawake viumbe visivyo na akili duniani
Kweli mkuuitakuwa alikuwa anapewa goti, Sio bure aiseeeee