Ndama Jeuri
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 1,520
- 1,504
Jamaa amepatikana, aliandika kwenye account yake ya Instagram kuwa alikuwa bagamoyo kwa kazi zake binafsi
Dah! Sijui watu wasiojulikana wameshafanya yaoMtayarishaji muziki mwenye kujua kazi yake, nimeanza kumsikia muda kidogo, kama nyimbo mbalimbali hasa za maua sama, uko wapi jamaa?
Yani! HatariiiHatari sana, WASIOJULIKANA wameshafanya yao
HahahahahaDuh.. nini tena,au ni Nissan nyeupe
hatari sanaYani! Hatariii
Inaweza kuwa kiongoziDah! Sijui watu wasiojulikana wameshafanya yao
Sana sana nyimbo za mapenzi kama kina maua sama, vumi na wengine Wa THTDuh.....hua anatengeneza nyimbo zenye mlengo wa siasa pia.... (kukosoa) labda?