Emoji zimekuwa kubwa sana sana, au nazo zinakua na kuzeeka?

Emoji zimekuwa kubwa sana sana, au nazo zinakua na kuzeeka?

Stephen Ngalya Chelu

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2017
Posts
8,252
Reaction score
18,335
Wakuu,
Hizi emoji zione tu zikiwa ndogo, hivyo zikiwa kubwa zinatsha sana aisee. Mimi kuanzia jana kwenye simu yangu kuna emoji zimekuwa kubwa sana aiseee, sijui ndo simu inataka kuharibika au jamiiforums wamefanya marekebisho ndo yamesababisha haya. Yaani zimekuwa kubwa kama machungwa au maparachichi, nyingene hadi najiuliza hii ni emoji au ni mfuniko wa ndoo ya maji.
Imagine unapitia uzi ghafla unaona li'emoji kama hili👇
20181128_182532.png

Au upo usiku unapitia jf unakutana na hili👇
20181128_182736.png

Yaani hizi emoji nazo zinapitia mutation😀😀😀😀😀😀

Hebu oneni wakuu
20181128_182625.png


20181128_182646.png

Hebu ona kama hii 👆👆 ilivyo kama kitumbua kilichokuwa kinakaribia kuungua....
Kuna mwingine ambaye ameliona hili, au nakutana nalo mimi tu?
 
hahaha! Wazee wa freebasic
Mkuu, mimi kweli huwa mara nyingi natumia freebasics kutokana na ukata mkali nilionao, lakini jana na leo nimebahatisha hela bando. But still naona maemoji makubwa makubwa kama mpira wa basket....hebu ona mamikono haya
20181128_203808.png
 
Naomba mmoja aje achukue simu yangu aniandikie kubwa ,,
 
Hii imeanza kama jana au juzi. Ila emoji naziona kama zimekaa kike kike hivi.
 
Back
Top Bottom