Emoji zimekuwa kubwa sana sana, au nazo zinakua na kuzeeka?

Stephen Ngalya Chelu

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2017
Posts
8,252
Reaction score
18,335
Wakuu,
Hizi emoji zione tu zikiwa ndogo, hivyo zikiwa kubwa zinatsha sana aisee. Mimi kuanzia jana kwenye simu yangu kuna emoji zimekuwa kubwa sana aiseee, sijui ndo simu inataka kuharibika au jamiiforums wamefanya marekebisho ndo yamesababisha haya. Yaani zimekuwa kubwa kama machungwa au maparachichi, nyingene hadi najiuliza hii ni emoji au ni mfuniko wa ndoo ya maji.
Imagine unapitia uzi ghafla unaona li'emoji kama hili๐Ÿ‘‡
Au upo usiku unapitia jf unakutana na hili๐Ÿ‘‡

Yaani hizi emoji nazo zinapitia mutation๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Hebu oneni wakuu



Hebu ona kama hii ๐Ÿ‘†๐Ÿ‘† ilivyo kama kitumbua kilichokuwa kinakaribia kuungua....
Kuna mwingine ambaye ameliona hili, au nakutana nalo mimi tu?
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]watu mnafurahisha balaa... hahhhahaha..
Tunaopata tabu ni sisi mjue๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
hahaha! Wazee wa freebasic
Mkuu, mimi kweli huwa mara nyingi natumia freebasics kutokana na ukata mkali nilionao, lakini jana na leo nimebahatisha hela bando. But still naona maemoji makubwa makubwa kama mpira wa basket....hebu ona mamikono haya
 
Naomba mmoja aje achukue simu yangu aniandikie kubwa ,,
 
Mimi mwenyewe naona yamekuwa makubwa sijui yamekula korosho!
 
Hii imeanza kama jana au juzi. Ila emoji naziona kama zimekaa kike kike hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ