TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Wanajamvi,
As usual... katika dimbwi kubwa la mawazo, nimejikuta nashangaa sana kwa kushindwa kuelewa, kati ya emotional abuse and physical abuse kipi kinauma zaidi
Nimekua nikisikia akina dada wakisema ni bora uniache kuliko kuniabuse physically, unfortunately the same person anasema yani ni bora uniache kuliko kunicheat au kunidhalilisha kwa namna yoyote ile
again, the very same group of people wanazungumzia madhara ya separation nk.
I am confused, wich one would easily be tolerated?? physical au emotional abuse?
MTM
As usual... katika dimbwi kubwa la mawazo, nimejikuta nashangaa sana kwa kushindwa kuelewa, kati ya emotional abuse and physical abuse kipi kinauma zaidi
Nimekua nikisikia akina dada wakisema ni bora uniache kuliko kuniabuse physically, unfortunately the same person anasema yani ni bora uniache kuliko kunicheat au kunidhalilisha kwa namna yoyote ile
again, the very same group of people wanazungumzia madhara ya separation nk.
I am confused, wich one would easily be tolerated?? physical au emotional abuse?
MTM