Employer akikusimamisha kazi - Msaada

Employer akikusimamisha kazi - Msaada

Santo

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2011
Posts
497
Reaction score
95
Wana jamvi,
Naomba kujuzwa iwapo employee anayo haki ya kuresign baada ya kuwa amesimamishwa kazi na mwajiri kwa sababu yoyote ile.

Asante
 
kusimamishwa kazi na kujiuzulu ni vitu viwili tofauti, kusimamishwa kazi inaokana mara nyingi na tuhuma zinazokukabili au kama una kesi,. kujiuzulu pia inaweza kuwa kwa hiari yako au pia kwa shinikizo kwa manufaa ya umma ila mwajiri anachoweza kufanya kisheria ni kukusimamisha kazi ili uchunguzwe au ushugulikie kesi inayokukabili au kwa sababu za kiafya otherwise employer hawezi kukullazimisha kuresign kisheria!
 
kusimamishwa kazi na kujiuzulu ni vitu viwili tofauti, kusimamishwa kazi inaokana mara nyingi na tuhuma zinazokukabili au kama una kesi,. kujiuzulu pia inaweza kuwa kwa hiari yako au pia kwa shinikizo kwa manufaa ya umma ila mwajiri anachoweza kufanya kisheria ni kukusimamisha kazi ili uchunguzwe au ushugulikie kesi inayokukabili au kwa sababu za kiafya otherwise employer hawezi kukullazimisha kuresign kisheria!

Asante sana mkuu.....na kama mwajiri kakuachisha(fire) kazi kwa sababu yoyote ile...je,..sitahili za mfanyakazi ni zipi?
 
hapana coz kunasababu ya kusimamishwa kaz na mara nyingi huenda ukarudishwa kazini au kufukuzwa kabisa inategemeana na sababu.ila pia inategemea na sheria za hiyo sehem either ni chama,au kampuni .nk
 
mi pia naomba kufaha mishwa, mfano mtu ulikuwa na kosa ukawa suspended ili uchunguz ufanyike bada ya uchunguz inaoneka unamakosa so unapangiwa tareh ya hearing , hearing inafanyika according to discliplinary procedure ya hyo kampun adhab yake ni termination then ikaja mitigation inawashawish kamat ipunguze adhabu unapewa final warning, sheria inamruhusu complainant kuappeal after 5 day that wht he didi yaan hata kabla ya majib ya applea the same complainant anakuja tena na mashitaka mengine kwamba ilifoj chet hospita, ikumbukwe kwamba sij kazn niko bado suspende sasa anapojaza hyo form ya kukomplain anataoa recomendation kwamba nipewe hearing na niwe suspended jamn is it possible mtu kuwa double suspended? am not good in labor law...........msaaada wataaalam
 
Wana jamvi,
Naomba kujuzwa iwapo employee anayo haki ya kuresign baada ya kuwa amesimamishwa kazi na mwajiri kwa sababu yoyote ile.

Asante
Kila mwajiri ana masharti ya uajiri tofauti,nafikiri ungesoma masharti yake ndio uanzie hapo,mambo ya soko huria yameharibu mambo mengi kaka
 
mi pia naomba kufaha mishwa, mfano mtu ulikuwa na kosa ukawa suspended ili uchunguz ufanyike bada ya uchunguz inaoneka unamakosa so unapangiwa tareh ya hearing , hearing inafanyika according to discliplinary procedure ya hyo kampun adhab yake ni termination then ikaja mitigation inawashawish kamat ipunguze adhabu unapewa final warning, sheria inamruhusu complainant kuappeal after 5 day that wht he didi yaan hata kabla ya majib ya applea the same complainant anakuja tena na mashitaka mengine kwamba ilifoj chet hospita, ikumbukwe kwamba sij kazn niko bado suspende sasa anapojaza hyo form ya kukomplain anataoa recomendation kwamba nipewe hearing na niwe suspended jamn is it possible mtu kuwa double suspended? am not good in labor law...........msaaada wataaalam
Kaa utulie uandike vizuri ili ueleweke, otherwise hapa ni kama unaparaza tu kama vile umefumaniwa!
 
haya mambo kiujumla wake huwa chini ya sheria za kazi. na ufafanuzi wake ama suluhu hupatikana CMA, bali kila taasisis huwa na regulations zao zinazowaongoza kwa mambo haya, kwa hiyo inategemea uko wapi.
mi pia naomba kufaha mishwa, mfano mtu ulikuwa na kosa ukawa suspended ili uchunguz ufanyike bada ya uchunguz inaoneka unamakosa so unapangiwa tareh ya hearing , hearing inafanyika according to discliplinary procedure ya hyo kampun adhab yake ni termination then ikaja mitigation inawashawish kamat ipunguze adhabu unapewa final warning, sheria inamruhusu complainant kuappeal after 5 day that wht he didi yaan hata kabla ya majib ya applea the same complainant anakuja tena na mashitaka mengine kwamba ilifoj chet hospita, ikumbukwe kwamba sij kazn niko bado suspende sasa anapojaza hyo form ya kukomplain anataoa recomendation kwamba nipewe hearing na niwe suspended jamn is it possible mtu kuwa double suspended? am not good in labor law...........msaaada wataaalam
 
Mtu kusimamishwa kazi huwa anabakia kuwa mwajiriwa halali huku akipokea nusu ya mshahara wake, na hatakiwi kufanya kazi yoyote katika kipindi atakachokuwa amesimamishwa, pale uchunguzi unapokamilika na kukutwa hana hatia anastahili kulipwa mishahara yake yote na fidia nyingizo!
 
Mtu kusimamishwa kazi huwa anabakia kuwa mwajiriwa halali huku akipokea nusu ya mshahara wake, na hatakiwi kufanya kazi yoyote katika kipindi atakachokuwa amesimamishwa, pale uchunguzi unapokamilika na kukutwa hana hatia anastahili kulipwa mishahara yake yote na fidia nyingizo!

Mkuu nimejaribu kupitia Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini, pamoja na Kanuni zake sijaona sehemu inayosema kama hapo nilipokoleza. Nadhani unaweza kukubaliana na mimi, kama hutaniambia ilikoandikwa, kuwa kwa sasa mwajiriwa anastahili kuopewa mshahara kamili na sio nusu kama zamani endapo atasimamishwa kazi.
 
Back
Top Bottom