Employment, outsourcing and recruitment agencies.

Shaycas

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2009
Posts
906
Reaction score
112
Habari wa ndugu.
Naomba mnisaidie kuhusu hizi Kampuni kama zipo na msaada wake kwa
jamii/ wanaotafuta Ajira au waajiri.
Je zinaendeshwaje na kuhakikisha watu hawatapeliwi? Mwenye
ushuhuda wa kupata ajira kupitia Kampuni hizi, anisaidie kujua
alifanyaje.
Ahsante sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…