Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,513
Anzisheni hiyo fukuza fukuza na sisi tuanzishe huku, alafu tuone nani atapiga mayowe. Wabunge wenu si walileta chokochoko mwaka jana, mbona mlinyamazishana wenyewe?Omba omba waswahili wamejazana mno kitaaa. Imigration wamezembea sn, wazalendo tutaanza kuwashugulikiaa!! eboo.
ona huyu. wakenya na aibu kubwa sana.
Kenya ni Ulaya ya Watanzania. Mnafanya harambee mtoto aende akasomee "overseas" wafika huku wanakwamia kabisa 😁yaani siku hizi mkenya ili aweze kuishi ni lazima ajihusishe na tz.
Huyo dada hata tukimhoji kwa ufasaha anatokea kanda ipi,sidhani kama anajua,kabila lake wala ndugu aliowaacha huku.
Yaani mtz amesafiri mamia ya km kuja kuomba Kenya, mjinga mmoja kaamua amtumie kwa faida zake.
Tutaweka ukuta ka US na Mexico yuone mtapitia wapi.That shows,that's why kenya ranked in group of failed states,it shows the way your immigration system is trashy and garbage,useless one
Mhhh kwahiyo hao omba omba ndio walikuja hapo abroad kusoma wakalowea huko[emoji1][emoji1].Kenya ni Ulaya ya Watanzania...mnafanya harambee mtoto aende akasomee "overseas" wafika huku wanakwamia kabisa [emoji16]
Kwa nini ujipe sana taabu,wakusanye ombaomba wote warudisheni kwao,kama hamuwarudishi kwao..hao ni wakenyaTutaweka ukuta ka US na Mexico yuone mtapitia wapi.
Kenya & US ni sawa na USA vs CHINA. Not exact lakini sababu in our league, In the next three years we are not going to be fastest growing economy in east Africa but the largest as well.Tutaweka ukuta ka US na Mexico yuone mtapitia wapi.
Hospal zipo lakini kuna mambo ya ajabu huwa wanafanya. Unakuta watu kama hawa wenye matatizo ya afya wamepewa eti barua za kutoka ofisi ya mkuu wa wilaya wazunguke kuchangiwa, sasa unajiuliz huyo mkuu wa wilaya kawasidiaje yeye na pili kunaidara ya ustawi wa jamii sijui kazi yao hasa huwa ni ipi.Ni aibu kubwa. Hakuna hospitali Tanzania.
Shughulika na yule mlevi wenu anayewafungia ndani kwa kigezo cha corona kumbe ana agenda yake binafsi,
Nchi ikiongozwa na mlevi matokeo ndio hayo nchi kuwekwa kwenye kundi la failed state,
Nchi kuongozwa na mlevi matokeo ndio hayo kufanya vitu kwa kukurupuka bila kushirikisha ubongo,
Na bado utaendelea kumchukia maana JPM tano tena [emoji23][emoji23][emoji23]
Kenya ni mji mtukufu wa hija kwa ombaomba kwani hamjui kuwa mtume wao ni raisi wenu Kenyatta ombaomba mkuuOmba omba kutoka Tz wametapakaa kwenye miji karibia yote nchini Kenya, ila serikali, viongozi na rais wao pia wamechagua kufikia vichwa vyao mchangani. Mwisho wa siku kero hiyo itabaki pale pale na uraia wa omba omba hao hautabadilika kwa kujitia hamnazo. Maanake kila mara omba omba hao wakifurushwa huwa wanarudi baada ya muda, tena wakiwa wameandamana na wengine wapya.
Wakenya nao kwa upendo wao wa kuwasaidia wenzao huwa wanazidi kuwaboreshea mazingira ya kuomba omba na kuwavutia wengine wengi. Kero hiyo kwenye mitaa ya miji ya Kenya ni sifa mbaya na aibu kubwa sana kwa majirani.
Na mungu wa ombaomba wote ni raisi KenyattaAll scum of Africa love Kenya because its a place of corruption and weak laws..There are Nigerian conmen, Beggers from Tz, Whores from Ug,Rwanda & Ethiopia, Somali terrorists, Southsudan rebels. How does Kenya immigration work? Failed state
KWANI UJUI KUWA MUNGU WAO YUPO KENYA NI RAISI WENU HUVYO WANAKUJA "HIJA" Uhuru Kenyatta ndiyo mungu waoHata wakirudishwa huja upya tena na wengine wengi yaani tu, halaafu kitu ambacho huwa sielewi mbona iwe nchi yenu tu ndio inasambaza ombaomba, mbona mataifa yaliyo kwenye vita kama vile Somalia na Sudan Kusini hawajazi omba omba kwenye nchi za watu, ni nyie tu Afrika yote, tatizo lenu kubwa mna uzembe uliokubuhu.
Chuo kikuu cha ombaomba kipo Kenya kinaitwa jubiliiMnazingua sana, acheni uzembe mjenge nchi.
Sasa jiulize kwanini walemavu ndiyo wanapenda Kenya? Nasio watz wazimaBana. Kwa inchi zote zilizo na raia Kenya, raia wa Tanzania ndo maskini na WAZEMBE kupindukia.
Yani ata mmburundi anauza kahawa mandazi, mmcongo living large or doing business, south sudan wako huku wanaishi kifahari na kusoma, Uganda biashara za Kenya wamezielewa kabisa haswa sababu ya kuongea English nzuri, Somali hadi familia za top officials wanaishi APA APA Nairobi.
Lakini ikija Tanzania ni omba omba tuu kila mahali. Yani , Meru, mombasa etc. Watanzania unawakanyanga kwa street wamekaa wamekunyoshea mkono. Wameblock pathway ya watu kutembelea yani kuzoea uhuni eti kisongizio we mlemavu.. Ni kero warudishwe kwao
Naona wamewapita hadi wahaya aseeKenya mnapenda kujikweza sana
Omba omba wenu wamejaa Failed stateThat shows,that's why kenya ranked in group of failed states,it shows the way your immigration system is trashy and garbage,useless one
Mbona mko desperate kiasi hili? Hivi, hakuna mkenya mwenye matatizo kama hayo? Je, ingekuwa ni Mkenya,huyo Charity Ngilu angepost huu ujinga? Majirani, acheni kutapata, na kuwaaminisha wakenya kwamba TZ kuna shida kiasi hicho. Ukweli viongozi wenu wanao kuhusu TZ, ndio maana wako desperate!Kitui governor Charity Ngilu chatting with a Tanzanian woman with a strange growth on her mouth. [Source/ Charity Ngilu]
You might have seen her pictures shared on social media platforms. A woman in distress with a strange growth in her face, in her arms a small child who happens to be here. Today she received good news as the embattled governor of Kitui county Charity Ngilu has come to her rescue. The governor, in a Facebook post on Thursday, said that she saw her and was moved by the woman's plight.
In the post, the Kitui county governor said that arrangements had already been made for her to be taken to a medical facility for treatment. The medical bill will be settled by funds from Charity Ngilu's pocket. Her name, from the governor's post, is Pendo Masonga and she is 20 years old. During their chat, the Tanzanian woman said that she had come to Kenya hoping to get well-wishers who will help her get medical attention.
In her post the Kitui governor revealed that people with the same condition had been treated.
"I am offering to pay for her expenses to undergo the Maxillofacila operation which will be done in Kitui after four other successful similar surgeries at the Kitui Referral hospital. The successful surgeries were all residents of the county of Kitui, " Charity Ngilu's post on Thursday read.
A screenshot of a post that was made by embattled Kitui governor Charity Ngilu who has pledged to help a Tanzanian woman with a malignant growth get medical attention. [Source/ SB Mukalo