donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Jamani ivi inakuaje,unakuta mwanaume mtanashati una mvuto,nadhifu,maridadi etc. But kila unapojaribu kumuaproach mdada fulani unajikuta una kula kibuti? Halafu,hivi kwanini siku hizi mapenz yamehamia mifukoni nikimaanisha pesa? Yan cku hz bwana wewe kama una gari yako nzur na vijisent kadhaa walah tena utakua na mwanamke yoyote utakaemtaka. Sasa inakuaje kuhusu msemo wa money cnt buy love?
Nachukia mnavyojazana ujinga hivyo!!!
Unadhani kila mtu anaweweseka na vijisenti na kigari???Think again brotha!!
u didn get me ryt. I didn mean u cn get any woman with those stuffs but most of them wanadanganyika kirahis n dats what i meant. Sorry,but sie 2lio vyuoni 2naona jins gar zinavopishana ucku kuwachukua na kuwarudsha,wenyewe wameridhika
Jamani ivi inakuaje,unakuta mwanaume mtanashati una mvuto,nadhifu,maridadi etc. But kila unapojaribu kumuaproach mdada fulani unajikuta una kula kibuti? Halafu,hivi kwanini siku hizi mapenz yamehamia mifukoni nikimaanisha pesa? Yan cku hz bwana wewe kama una gari yako nzur na vijisent kadhaa walah tena utakua na mwanamke yoyote utakaemtaka. Sasa inakuaje kuhusu msemo wa money cnt buy love?
Nachukia mnavyojazana ujinga hivyo!!!
Unadhani kila mtu anaweweseka na vijisenti na kigari???Think again brotha!!
miss you dearest.....mwambie dogo,si kila mwanamke anaweweseka na vijisenti na vigari......sasa wenye magari na vijisenti na zaid inakuwaje?
Me too dearest....huko bize unatoka lini???
Aisee the boy has to learn that enzi za kutetemekea gari zimepita. Siku hizi wanawake wana masenti sasa watawewesekaje na vijisenti bwana!!!
ataelewa tu ngoja akutane na wenye masenti ndo atajua.....huku bize natoka mwezi wa tisa dearest....navyokupenda haiishi wiki lazima nije nikupe hi hapa....!!!:juggle:
All said r true but i conducted a research nikagundua kwamba most of the girls nawdays r kinda greedy. Ni wachache wanaojiheshimu nakujithamini ambao hawadanganyiki na vi2 vidogovidogo but stil wapo ambao ni malimbukeni ambao wanaojali wao ni wat u got in yo pockets,u cnt argue that. Cyo wadada2,pia hata vijana wadogo ambao wanatembea na wanawake umri kama mama zao ili "walelewe". MONEY CNT BUY LOVE BUT SMTYMS IT COSTS ALOT 2GET LOVE,WATAALAM WA FINANCE 2NAITA IMPLICIT COSTS
Jamani ivi inakuaje,unakuta mwanaume mtanashati una mvuto,nadhifu,maridadi etc. But kila unapojaribu kumuaproach mdada fulani unajikuta una kula kibuti? Halafu,hivi kwanini siku hizi mapenz yamehamia mifukoni nikimaanisha pesa? Yan cku hz bwana wewe kama una gari yako nzur na vijisent kadhaa walah tena utakua na mwanamke yoyote utakaemtaka. Sasa inakuaje kuhusu msemo wa money cnt buy love?
All said r true but i conducted a research nikagundua kwamba most of the girls nawdays r kinda greedy. Ni wachache wanaojiheshimu nakujithamini ambao hawadanganyiki na vi2 vidogovidogo but stil wapo ambao ni malimbukeni ambao wanaojali wao ni wat u got in yo pockets,u cnt argue that. Cyo wadada2,pia hata vijana wadogo ambao wanatembea na wanawake umri kama mama zao ili "walelewe". MONEY CNT BUY LOVE BUT SMTYMS IT COSTS ALOT 2GET LOVE,WATAALAM WA FINANCE 2NAITA IMPLICIT COSTS
Jamani ivi inakuaje,unakuta mwanaume mtanashati una mvuto,nadhifu,maridadi etc. But kila unapojaribu kumuaproach mdada fulani unajikuta una kula kibuti? Halafu,hivi kwanini siku hizi mapenz yamehamia mifukoni nikimaanisha pesa? Yan cku hz bwana wewe kama una gari yako nzur na vijisent kadhaa walah tena utakua na mwanamke yoyote utakaemtaka. Sasa inakuaje kuhusu msemo wa money cnt buy love?
Dahh pole
umepigwa chini mara ngapi
Mzeewalolliondo kwa kweli
Unaweza kuwa nakila kitu
lakini kama Una personality chachu
Sana sana utachakachuliwa tu..
Omba Mungu usikutane na ma golddigger
Utajuta..na usidhani kama Una kila kitu
Unaweza kumpata kila mtu..
hiyo mentality mbaya sana ...
Kwanini usimtafute kiboko mwanzako
Ili usishushe ahadhi yako (PJ)
I'm out...
Jamani, the guy nids some compassion..anaongea out of desperation!