Endapo Mbowe asingegombea CHADEMA kingepata ufuasi , uimara na imani iliyopo sasa kwenye jamii?Mjadala ungekuwepo?

Endapo Mbowe asingegombea CHADEMA kingepata ufuasi , uimara na imani iliyopo sasa kwenye jamii?Mjadala ungekuwepo?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Endapo Mbowe angeamua kumuunga mkono Lisu je wananchi wangeshuhudia demokrasia iliyoonyeshwa?

Kuhusu imani kwa umma, je mjadala unaoendelea sasa ungekuwepo? Je, angepata heshima aliyonayo sasa hata baada ya kushindwa?
 
Back
Top Bottom