Sasa mimi nakutania unadhani au??? Me pia ni real...[emoji23]Bro..it's real wala sikutanii...mm na ww hatuna utani wala sina sababu ya kukudanganya that is my trade and I am coplete honest with you......tek it or leave it...
Unajishughulisha na nini??FOREX NI WIZII TUU[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani ukitoa pesa yako ufundishwa forex ni sawa na mtu anaenunua Odds za kubet kufanikiwa ni ndotooo
Najishughulisha na PIPs..karibu mkuuu...Unajishughulisha na nini??
Wewe unahangaika na huyo jamaaUnajishughulisha na nini??
Mkuu nilijua demo kumbe real umepiga HatariHakuna cha wizi wala nini watu tunakung'uta kisawa sawaView attachment 1150761
Ni real Account FBS real 8...Mkuu nilijua demo kumbe real umepiga Hatari