Endeleeni Kuimba Mitano Tena, Lakini Mtaishia Kulia na Kusaga Meno

Endeleeni Kuimba Mitano Tena, Lakini Mtaishia Kulia na Kusaga Meno

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Hivi mmepatwa na nini ndugu zangu Watanzania? Uendeshaji ulio feli wa CCM unaosababisha nchi kuingia madeni makubwa na kuathiri tija kwa taifa hadi nchi kutegemea kuchimbiwa vyoo na nchi wahisani, kutegemea vyandarua vya bure ili kuwakinga na malaria wake zetu wenye mimba nk huku tunaendelea kuimba MITANO TENA?

Tumelogwa sisi? Nani alitupa Limbwata hata hatuyaoni haya yafanywayo?

Tazama hili deni tunalo enda kudaiwa tutakapo shtakiwa kwa sababu ya maamuzi ya crooks wachache wasio ogopa kufanya lolote?

Tuseme kwa umoja kabisa, CCM NEVER AND NEVER AGAIN for 2024/25 ELECTION
 
Hivi mmepatwa na nini ndugu zangu Watanzania? Uendeshaji ulio feli wa CCM unaosababisha nchi kuingia madeni makubwa na kuathiri tija kwa taifa hadi nchi kutegemea kuchimbiwa vyoo na nchi wahisani...
Kwenye geti la chuo kikuu Cha Cape Town nchini Africa kusini kuna maandish yasemayo"
"Ukitaka kuangamiza taifa lolote duniani huhitaji kutumia silaha za nyuklia wala mabomu ya atomic. Njia nzuri ya kuangamiza taifa ni kuharibu mfumo wa elimu. "Ruhusu mbumbumbu waonekane wamefaulu na wasonge mbele.

Matokeo yake yatajionesha baada ya muda, "mbumbumbu" hao wakisha hitimu.

Wagonjwa watafia mikononi mwa madaktari, majengo yataanguka mikononi mwa wahandisi, pesa zitapotelea mikononi mwa wachumi, utu utapotea mikononi mwa viongozi wa dini, na haki itapotea mikononi mwa mahakimu.

#Kuchezea Elimu Ni Kuangamiza Taifa. ......✍️
 
Hivi mmepatwa na nini ndugu zangu Watanzania? Uendeshaji ulio feli wa CCM unaosababisha nchi kuingia madeni makubwa na kuathiri tija kwa taifa hadi nchi kutegemea kuchimbiwa vyoo na nchi wahisani....
Yupi mbadala wa ccm?
 
Hata uchaguzi wa 2010 na 2015 watu walijiuliza hivyo hivyo kwenye kutengeneza Utawala wa Halmashauri lakini baada ya uchaguzi waliona faida ya vyama mbadala pamoja na Jiwe kutumia serikali kuu kuwahujumu
Mkuu hujajibu swali langu

KWa. 2025 tunaenda na nani?
 
copy typist secretary in power, absolute power
Kuna familia moja mama mwenye nyumba alifariki akaacha mume na watoto wenye kujitambua vyema.
Kikatokea kituko mume akamuoa House girl aliyekuwepo.
Vituko vyake ndio utajua copy typist secretary in power, obsolute power!
 
Back
Top Bottom