Kwenye geti la chuo kikuu Cha Cape Town nchini Africa kusini kuna maandish yasemayo"Hivi mmepatwa na nini ndugu zangu Watanzania? Uendeshaji ulio feli wa CCM unaosababisha nchi kuingia madeni makubwa na kuathiri tija kwa taifa hadi nchi kutegemea kuchimbiwa vyoo na nchi wahisani...
Mitano tenaHivi mmepatwa na nini ndugu zangu Watanzania? Uendeshaji ulio feli wa CCM unaosababisha nchi kuingia madeni makubwa na kuathiri tija kwa taifa...
Yupi mbadala wa ccm?Hivi mmepatwa na nini ndugu zangu Watanzania? Uendeshaji ulio feli wa CCM unaosababisha nchi kuingia madeni makubwa na kuathiri tija kwa taifa hadi nchi kutegemea kuchimbiwa vyoo na nchi wahisani....
Na aliku ccmShujaa JIWE oyeee!!
Yeyote hata akitokea mtu humo humo ccm hatuna nanma muhimu huyu mwanamke wa Kipemba aachie hili taifa maana ni aibuYupi mbadala wa ccm?
Mkuu hujajibu swali languHata uchaguzi wa 2010 na 2015 watu walijiuliza hivyo hivyo kwenye kutengeneza Utawala wa Halmashauri lakini baada ya uchaguzi waliona faida ya vyama mbadala pamoja na Jiwe kutumia serikali kuu kuwahujumu
Nimekubali mama anaupiga mwingi mama amekufikia mitano tena!Najua swahiba Kipara moyoni unakubali ila usoni unanipinga!
Usijali maamuzi ya kura ni siri yako kiongozi!
Kuna familia moja mama mwenye nyumba alifariki akaacha mume na watoto wenye kujitambua vyema.copy typist secretary in power, absolute power