Endeleeni Kuimba Mitano Tena, Lakini Mtaishia Kulia na Kusaga Meno

Tupe huyo mbadala
Na ninashindwa kukutajia jina maana vyama vingine havijataja watu wao wa kuwasimamisha.
Ile kazi mfano Urais, ni ya hiari yako mwenyewe ndio maana unachukua fomu na kuomba ridhaa ya kugombea.
Haya makosa ya chama fulani ETI TUNATOA FOMU MOJA ni kumlazimisha mtu wakati pengine kajichokea anataka kurudi kwao kupika urojo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…